Las Vegas, Nevada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jiji la Las Vegas | |||
|
|||
| Mahali pa mji wa Las Vegas katika Marekani | |||
| Anwani ya kijiografia: 36°11′39″N 115°13′19″W / 36.19417°N 115.22194°W | |||
| Nchi | Marekani | ||
|---|---|---|---|
| Jimbo | Nevada | ||
| Wilaya | Clark | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 558,880 | ||
Las Vegas ni mji wa Marekani katika jimbo la Nevada. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.8 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 610 kutoka juu ya usawa wa bahari.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Las Vegas, Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |