Kitiriko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitiriko ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania, mchanganyiko wa Kihehe na Kigogo. Inasemwa na Watiriko.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitiriko kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.