Kilontsi Mbebhaghu M. Mporogomyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kilontsi Muhama Mporogomyi)
Rukia: urambazaji, tafuta

Kilontsi Mbebhaghu M. Mporogomyi (amezaliwa tar. 16 Desemba 1949) ni mbunge wa jimbo la Kasulu Magharibi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Kilontsi Mbebhaghu M. Mporogomyi (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.