Kifulfulde-Borgu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifulfulde-Borgu ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Wafulbe. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kifulfulde-Borgu nchini Benin imehesabiwa kuwa watu 280,000. Pia kuna wasemaji nchini Togo na Nigeria. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kifulfulde-Borgu kiko katika kundi la Kiatlantiki.
[hariri] Viungo vya nje
- lugha ya Kiborgu kwenye Multitree
- ramani ya Kiborgu
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=fue
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kifulfulde-Borgu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |