Kibitur

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibitur ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wabitur. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kibitur imehesabiwa kuwa watu 860. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibitur iko katika kundi la Kitirio.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibitur kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.