Kazeem Ojo Aderounmu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kazeem Ojo Aderounmu

Kazeem Ojo Aderounmu (alizaliwa 10 Januari 2000) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Nigeria ambaye anacheza kama Mshambuliaji wa klabu ya A Lyga ya DFK Dainava.

Ushiriki katika Klabu[hariri | hariri chanzo]

FK Ventspils Kazeem Baada ya kuichezea klabu ya Real Sapphire ya Nigeria, Aderounmu alisaini mkataba na klabu ya FK Ventspils ya Ligi ya Juu mnamo Januari 2020 kwa mkataba wa urefu usiojulikana.

DFK Dainava Mnamo Julai 2021, Aderounmu alihamishia klabu ya DFK Dainava ya Lithuanian A Lyga katika msingi wa kudumu wa kutia saini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo. [1][2][3][4]

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Kazeem Pia aliitwa katika kikosi cha Nigeria U17 wakati wa mechi mbili za kirafiki zilizochezwa Abuja mnamo 2016.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "ALYTAUS „DAINAVĄ“ PAPILDĖ KAZEEM ADEROUNMU" (kwa Lithuanian). dfkdainava.com. 
  2. "Kazeem Aderounmu Profile" (kwa Lithuanian). lietuvosfutbolas.lt. 
  3. "K. Aderounmu: apie šiurpią traumą, pirmąjį trofėjų ir komandinius tikslus" (kwa Lithuanian). alyga.lt. 
  4. "Players of DFK Dainava Profile" (kwa Lithuanian). dfkdainava.com. 

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kazeem Ojo Aderounmu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.