Karim Bakhti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karim Bakhti (alizaliwa 11 Oktoba 1969) ni mwanasoka wa Algeria. Alichezea timu ya taifa ya Algeria katika mechi sita kuanzia 1994 hadi 1996.[1] Pia Karim alitajwa katika kikosi cha Algeria kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mnamo mwaka wa 1996. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Karim Bakhti". National Football Teams. Iliwekwa mnamo 8 May 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Karim Bakhti". National Football Teams. Iliwekwa mnamo 8 May 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Karim Bakhti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.