KMC F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

KMC F.C. ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Tanzania iliyopo mkoani Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni

Michezo yao ya nyumbani inachezwa kwenye Uwanja wa Uhuru. Pia KMC F.C Imewahi shiriki mashindano maarufu barani Afrika Kombe la Shirikisho mnamo mwaka 2019.

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu KMC F.C. kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.