Kālidāsa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Kālidās (Kidevanāgarī: कालिदास) alikuwa mwandishi nchini Uhindi. Aliishi mnamo mwaka 400 katika milki ya Gupta akatumia lugha ya Kisanskrit akitazamiwa kama mshairi mkuu wa lugha hiyo.

Katika mashairi na tamthiliya alitumia mapokeo ya kidini ya Kihindu.


[hariri] Viungo vya Nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine