Kālidāsa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kālidās (Kidevanāgarī: कालिदास) alikuwa mwandishi nchini Uhindi. Aliishi mnamo mwaka 400 katika milki ya Gupta akatumia lugha ya Kisanskrit akitazamiwa kama mshairi mkuu wa lugha hiyo.
Katika mashairi na tamthiliya alitumia mapokeo ya kidini ya Kihindu.
Viungo vya Nje [hariri]
- Kalidasa: Translations of Shakuntala and Other Works by Arthur W. Ryder
- Biography of Kalidasa
- Works by Kalidasa katika Project Gutenberg
- Clay Sanskrit Library publishes classical Indian literature, including the works of Kalidasa with Sanskrit facing-page text and translation. Also offers searchable corpus and downloadable materials.
- Kalidasa at The Online Library of Liberty