Jumba la Sanaa la Sydney

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jumba la Sanaa la Sydney jinsi linavyoonekana kwa usiku.

Jumba la Sanaa la Sydney (kutoka kiing. The Sydney Opera House) ni jumba linalo patikana katika Bandari ya Sydney, katika Sydney, Australia. Jumba linaumbo kama Matanga (sails), na linapatikana mjini Sydney, Australia. Jumba hilo linatumiwa kwa matasha na sherehe mbalimbali za kimataifa huwa zinafanyiwa hapo. Jumba hilo ni maarufu sana kwakuwa kuvutio kikubwa kwa watalii walio wengi. Jumba lilijengwa mwaka 1817 na ilipofika mwaka 1901 likafungwa. Likaja kufunguliwa tena mnamo tar. 10 ya mwezi Agosti ya mwaka wa 1902. Mnamo mwaka wa 1958 jengo likafungwa tena kwa ajili ya kufanya matengenezo mawili matatu, kisha likaja kufunguliwa tena mnamo mwaka wa 1959.

Marejeo ya nje[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.lib.mq.edu.au/all/journeys/related/fortmacquarie.html Archived 23 Aprili 2013 at the Wayback Machine.