Job Yustino Ndugai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Job Ndugai)
Job Ndugai, 2017

Job Yustino Ndugai (amezaliwa 21 Januari 1960) ni mbunge wa jimbo la Kongwa katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tangu tarehe 17 Novemba 2015 hadi 6 Januari 2022 alikuwa Spika wa Bunge la Tanzania. Baada ya kuingia katika ugomvi na rais Samia Suluhu Hassan alipaswa kujiuzulu uspika[2].

Tazama pia

Marejeo

  1. "Mengi kuhusu Job Yustino Ndugai". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 
  2. BREAKING: Tanzania's Speaker of Parliament Job Ndugai has resigned, The Citizen, tar. 6 Januari 2022