Jimbo la Uchaguzi la Nyaribari Chache
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyaribari Chache ni jimbo li uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya Majimbo manne ya wilaya ya Kisii.
Yaliyomo |
Historia[hariri]
Lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1988.
Wabunge[hariri]
| Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Andrew John Omanga | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | Simeon Nyachae | KANU | |
| 1997 | Simeon Nyachae | KANU | |
| 2002 | Simeon Nyachae | Ford-People | |
| 2007 | Robert Onsare Monda | NARC |
Wodi[hariri]
| Wodi | ||
| Wodi | Wapiga Kura waliojiandikisha | Utawala wa Eneo |
|---|---|---|
| Bobaracho | 5,010 | Munisipali ya Kisii |
| Central | 7,049 | Munisipali ya Kisii |
| Ibeno / Keumbu | 19,383 | Gusii county |
| Kanga Hill | 2,862 | Munisipali ya Kisii |
| Kegati | 3,798 | Gusii county |
| Kiogoro | 6,226 | Gusii county |
| Nyansira | 1,285 | Keroka (Mji) |
| Nyaura | 5,801 | Munisipali ya Kisii |
| Jumla | 51,414 | |
| *Septemba 2005 [2]. | ||
Tazama Pia[hariri]
Robert Onsare Monda Simeon Nyachae Uchaguzi wa Bunge la Kenya 2007
Virejeleo[hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency