Jimbo la Uchaguzi la Lagdera
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo la Uchaguzi la Lagdera ni mojawapo ya Majimbo 210 ya uchaguzi nchini Kenya. JImbo hili linapatikana katika Wilaya ya Garissa mkoani Kaskazini Mashariki, miongoni mwa majimbo matatu ya Uchaguzi katika wilaya hiyo. Lina wodi kumi, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Garissa County.
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988.
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Slan Ahmed Nuno | KANU | mfumo wa chama Kimoja |
| 1992 | Farah Maalim | KANU | |
| 1997 | Mohamed Mukhtar Shidiye | KANU | |
| 2002 | Abdillahi Sheikh Dahir | KANU | |
| 2007 | Farah Maalim | ODM |
Wodi [hariri]
| Wodi | |
| Wodi | Wapiga Kura waliojiandikisha |
|---|---|
| Abakaile | 1,086 |
| Alango-Arba | 1,486 |
| Benane | 2,921 |
| Dadaab | 3,262 |
| Dagahaley | 1,316 |
| Damajale | 1,290 |
| Garufa | 1,171 |
| Goreale | 1,325 |
| Liboi | 3,085 |
| Modogashe | 4,112 |
| Jumla | 21,054 |
| *Septemba 2005 [2]. | |
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje [hariri]