Jeremia Maselle Bukwimba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lolesia Jeremia Maselle Bukwimba (amezaliwa 24 Februari 1971) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Geita kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017