Innocent Lugha Bashungwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mhe. Innocent Bashungwa (Waziri)


Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Aliingia ofisini 
2022
Rais Samia Suluhu Hassan

Mbunge wa Karagwe
Aliingia ofisini 
2015

tarehe ya kuzaliwa 5 Mei 1979 (1979-05-05) (umri 44)
utaifa Mtanzania
chama CCM
tovuti https://www.tamisemi.go.tz/

Innocent Lugha Bashungwa (alizaliwa 5 Mei 1979) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Karagwe kwa mwaka 20152020. [1] Kwa sasa ni waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). [2] Oktoba 3, 2022, alichukua nafasi ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Tanzania. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]