Ikot Ekpene

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ikot Ekpene, SE Nigeria, Soko la Ufundi mnamo Novemba 1981 ikionyesha kazi ya raffia na kuchora mbao.
Ikot Ekpene, SE Nigeria, Soko la Ufundi mnamo Novemba 1981 ikionyesha kazi ya raffia na kuchora mbao.

Ikot Ekpene ni mji wa jimbo la Akwa Ibom nchini Nigeria.

Mwaka 2022 umekadiriwa kuwa na wakazi 254,806 [1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ikot Ekpene kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.