Hifadhi ya Wanyama ya Aloe Ridge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hifadhi ya Wanyama ya Aloe Ridge ni mbuga ya wanyama na mbuga ya uhifadhi katika mkoa wa kati wa Gauteng kaskazini-mashariki mwa Afrika Kusini, ipo umbali wa kilomita 15 moja kwa moja kaskazini-mashariki mwa mapango ya Sterkfontein .

Iko karibu na Mulder's Drift, inahifahi wanyama kama vile faru weupe, nyati, kiboko, na swala wengi na spishi adimu za ndege . Hifadhi hiyo pia ina kituo cha ufundi cha Kizulu na iko wazi kwa watalii.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]