Hamilton, New Zealand

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hamilton, New Zealand
Hamilton / Kirikiriroa

Mji wa Hamilton (New Zealand)
Habari za kimsingi
Mkoa Waikato
Anwani ya kijiografia Latitudo: 37°47′0″ - Longitudo: 175°17′0″E
Eneo 98 km²
Wakazi 143,000 (mji pekee)
203,400 (pamoja na rundiko)
Msongamano wa watu watu 1,459.2 (mji pekee) kwa km²
Simu +64 (nchi), 07 (mji)
Mahali

Hamilton (Kimaori: Kirikiriroa) ni mji wa New Zealand mwenye wakazi 143,000 (2010). Iko upande wa kaskazini wa kisiwa. Eneo lake ni 98 km². Mji ulinazishwa mwaka 1864.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]



Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.