Göteborg

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Göteborg, Uswidi


Mahali pa Göteborg katika Uswidi

Eneo
 - Mji
 - Mkoa wa Jiji

198.16 km²
450 km²
Wakazi
(2006-01-01)
 - Mji
 - Mkoa wa Jiji
 - Msongamano (mji/jiji)


507,330
917,984
1,127.4/km² / 247/km²
Kanda la wakati Ulaya ya Kati: UTC+1
Latitudo
Longitudo
57°42' N
11°58' E

Göteborg ni mji mkubwa wa pili nchini Uswidi upande wa magharibi ya nchi. Idadi ya wakazi ni 507,330. Mji uliundwa mwaka 1621.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 198.16 km². Mji uko pande zote mbili za mto Göta

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Göteborg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.