Frankfurt (maana)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Frankfurt ni jina la miji miwili mikubwa nchini Ujerumani. Kwa kusudi la kuitofautisha mara nyingi hutajwa pamoja na mto iliyoko:

Frankfurt ni pia jina la vijiji viwili na ilikuwa jina la maeneo ya kihistoria katika Ujerumani.

Kwa umbo la "Frankfort" au "Frankford" jina lapatikana katika Amerika ya Kaskazini. Lataja miji iliyoundwa na wahamiaji kutoka Ujerumani.

Maana asilia ya mto yanataja mambo mawili: "Frank" ni jina la kabila ya Kigermanik ya Kale ya "Wafranki". "furt" (kiing.: "ford") ni sehemu ya kupita mto pasipo maji yenye kina kikubwa.

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.