Fátima Djarra Sani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fátima Djarra Sani
Picha ya Sani mwaka 2017
Picha ya Sani mwaka 2017
Alizaliwa 1968
Nchi Guinea Bisau
Kazi yake mwanaharakati wa haki za wanawake

Fátima Djarra Sani (alizaliwa 1968) ni mwanaharakati wa haki za wanawake nchini Guinea Bissau anayepinga ukeketaji wa wasichana.

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Fátima Djarra Sani alizaliwa Bissau, mji mkuu wa nchi, mwaka 1968.[1] Ni mwanaharakati dhidi ya ukeketaji wa wanawake katika nchi ya Guinea Bisau na mwakilishi wa shirika la Médecins du Monde Afrika.[2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2008, alijiunga na Médecins du Monde, na aliendesha warsha na mafundisho mengine kuhusu hali ya wanawake katika Afrika. Alikazia hasa maswali ya afya ya uzazi na kupinga ukeketaji.[3]

Alishiriki kuandaa itifaki kupinga na hatua dhidi ya ukeketaji wa wanawake ambao ulipata kibali juni 2013 huko Navarra, Hispania.


Maandishi[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2015 alichapisha Indomable: de la mutilación a la vida (Indomitable: From Mutilation to Life), na Nyumba ya uchapaji ya Ediciones Península, ambayo alizungumza kuhusu maisha yake.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Cervantes, Biblioteca Virtual Miguel de. "Obras de Djarra Sani, Fátima, 1968- - Pag. 1". www.cervantesvirtual.com. Iliwekwa mnamo 5 November 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Fátima Djarra Sani, mediadora de Médicos del Mundo, pregonera de la Navidad en Pamplona - Tribuna Feminista". tribunafeminista.org. 14 December 2016. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-11-07. Iliwekwa mnamo 5 November 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Fátima Djarra Sani: "Cada vez se practican más ablaciones a bebés"
  4. Imparcial, El. "Fátima Djarra Sani / Gorka Moreno: Indomable". elimparcial.es. Iliwekwa mnamo 5 November 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fátima Djarra Sani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.