Douglas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Douglas masaa ya jioni
Douglas masaa ya jioni

Douglas (Kimanx: Doolish) ni mji mkuu wa Isle of Man. Kuna wakazi 25.422 ambao ni takriban theluthi moja ya wakazi wote wa kisiwa.

Mji uko upande wa mashariki wa Man na tangu 1863 umekuwa mji mkuu. Umejengwa kando la bandari asilia.

Msingi wa uchumi ni utalii.

Jina la Douglass limetokana na miti ya Dhoo na Glass inayoishia hapa baharini.

[hariri] Wakazi mashuhuri

Hori la Douglas
Hori la Douglas
Vifaa binafsi