Devanagari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rigveda, example of abugida script
Devanāgarī ni mwandiko unaotumiwa kwa kuandika lugha za Uhindi Kaskazini kama vile Sanskrit, Kibangla, Kihindi, Kimarathi, Kisindhi, Kibihari, Bhili au Kinepali cha Nepal. Wakati mwingine hata Kikashmiri huandikwa nayo.
Devanagari huhesabiwa kati ya miandiko ya Abugida inayounganisha alama kwa herufi na alama kwa silabi. Mwandiko mtangulizi wake ulikuwa mwandiko wa Brahmi.
[hariri] Viungo vya Nje
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |