David Madden (mtendaji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

David Madden ni mtangazaji kwenye vyombo vya habari nchini Marekani. Madden alihitimu katika chuo Kikuu cha Harvard mnamo 1976. Alishiriki katika ukumbi wa michezo katika chuo kikuu, na alikuwa mwandishi wa riwaya. Akiwa na umri wa miaka 23 riwaya yake iliyolenga kuhamasisha ilikataliwa na wachapishaji.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "David Madden in Talks to Head Programming for AMC, SundanceTV and AMC Studios", Variety, August 30, 2017. Retrieved on October 12, 2020. 
  2. "Broadway's Alan Rickman and Mos Def Star in "Something the Lord Made," Debut on HBO May 30", Playbill, May 30, 2004. Retrieved on October 12, 2020.