David Ernest Silinde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

David Ernest Silinde (amezaliwa tar. 28 Julai 1984) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Momba kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017