Dagoretti
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dagoretti ni eneo lililoko magharibi mwa Nairobi, mji mkuu wa Kenya. Eneo hili liko katika wilaya kubwa ya Nairobi west Nairobi. Dagoretti imegawanywa hadimipaka sita. Jimbo la Dagoretti lina mipaka sawia na eneo la Dagoretti.
Yaliyomo |
Kata [hariri]
| Kata | Idadi ya Watu |
|---|---|
| Kawangware | 86,824 |
| Kenyatta | 30,253 |
| Mutuini | 14,521 |
| Riruta | 65,958 |
| Uthiru / Ruthimitu | 23,016 |
| Waithaka | 19,937 |
| Jumla | 240,081 |
| sensa ya mwaka wa 1999 [1] | |
Usafiri [hariri]
Kituo cha reli cha Dagoretti kiko kwenye mstari wa mfumo wa reli ya kitaifa.
Angalia Pia [hariri]
Marejeo [hariri]
- ↑ information.go.ke: CDF mgao kwa sekta na vikao(2003-6)
Viungo vya nje [hariri]
Anwani ya kijiografia: 01°18′00″S 36°46′00″E / 1.3°S 36.766667°E
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Dagoretti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |