Chris Iheuwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chris Iheuwa ni mwigizaji na mtayarishaji wa filamu wa Nigeria, mmoja wa waanzilishi wa tasnia ya Nollywood.[1][2] Yeye ni makamu mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji cha Nigeria.

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Chris Alipata digrii yake ya kwanza kutoka kwa kozi ya sanaa ya maigizo katika Chuo Kikuu cha Ibadan na Shahada ya Uzamili katika Chuo Kikuu cha Lagos.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Why Nollywood filmmakers still make money ritual movies - Actor, Chris Iheuwa". GhanaWeb (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-03. Iliwekwa mnamo 2022-08-03.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  2. Ogala, George (2022-04-22). "Why Nollywood filmmakers still make 'money ritual' movies - Actor, Chris Iheuwa". Premium Times Nigeria (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2022-08-03.