Khitini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Chitini)
Kichwa na kifua cha kipepeo hufunkikwa kwa mabapa ya khitini ngumu; tumbo hufunkiwa kwa ganda nyembamba ya khitini ambayo ni laini kiasi. Mabwawa wake ni pia ngozi nyembamba zaidi ya khitini.
Kila kinachonekana cha nzige ni khitini

Khitini (ing. chitin, kutoka gir. χιτών khiton "ganda, kinga") ni dutu ngumu nusu angavu inayofanya kiunzi nje ya wadudu na arithropodi wengine.

Inapatikana pia katika kuta ya seli za fungi.

Kikemia ni aina ya polisakaridi yaani molekuli ndefu ya kabohidrati ya (C8H13O5N)n.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Other websites[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: