Chama cha Wafanyakazi Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) ni umoja wa vyama vya wafanyakazi kisiwa cha Zanzibar, nchini Tanzania. Kiliundwa mnamo mwaka 2002 kutokana na muungano wa vyama 9 vya wafanyakazi katika mikoa ya Zanzibar.

ZATUC ina uhusiano na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi vya Kimataifa.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-05-14. Iliwekwa mnamo 2021-08-18.