Kayeni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Cayenne)
Sehemu ya mji wa Cayenne


Kayeni
Cayenne
Majiranukta: 4°56′05″N 52°19′49″E / 4.93472°N 52.33028°E / 4.93472; 52.33028
Nchi Ufaransa
Mkoa Guyani ya Kifaransa
Wilaya Guyani ya Kifaransa
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 63,468
Tovuti:  www.guyane.pref.gouv.fr

Mahali pa Kayeni

Kayeni (kwa Kifaransa: Cayenne) ni mji mkuu wa wilaya na eneo la ng'ambo la Ufaransa la Guyani ya Kifaransa. Kuna wakazi 63,468 (2021) katika eneo la 23.60 km².

Mji uko kwenye rasi ya nchi kando ya mdomo wa Mto Kayeni unapoishia katika Atlantiki.

Baharini mbele ya pwani kipo Kisiwa cha Sheitani kilichokuwa kisiwa cha gereza cha Ufaransa kati ya miaka 1852 na 1946.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kayeni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kayeni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.