Breithorn

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Breithorn, upande wa Kaskazini

Breithorn ni mlima wa Alpi kati ya nchi za Italia na Uswisi (Ulaya).

Urefu wake ni mita 4,164 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]