Assouma Uwizeye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Assouma Uwizeye (amezaliwa 6 Aprili 1996) ni mchezaji wa mpira wa kikapu wa Rwanda anachezeya timu ya taifa ya Wanawake ya Rwanda.[1]

Maisha ya Timu ya Taifa ya Rwanda[hariri | hariri chanzo]

Assouma aliwakilisha Rwanda katika Kombe la Mabingwa la Wanawake la FIBA Africa mwaka 2022, ambapo alikuwa na wastani wa alama 9.3 na mbio 8.8 kwa kila mchezo.[2]

Pia alishiriki katika Afrobasket ya Wanawake mwaka 2023 ambapo alifunga alama 6 na kuchukua mbio 2 katika robo ya kwanza ya mchezo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sikubwabo, Damas (2023-02-19). "Rwanda beaten again as Afrobasket qualifiers leave holes to fill". The New Times. Iliwekwa mnamo 2024-03-17. 
  2. Bahizi, Heritier (2023-08-08). "Rwanda: Meet the Women Who Made Rwanda Proud at 2023 Afrobasket". allAfrica.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-17. 
  3. Rwabutogo, Atfah Teta (2023-07-30). "Women’s Afrobasket2023: Rwandan team – MKU Magazine". MKU Magazine – Empowering Generations Through Education. Iliwekwa mnamo 2024-03-17. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Assouma Uwizeye kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.