Apostrofi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Apostrofi ni alama ya pekee inayotumikwa katika maandishi. Umbo lake ni '.
Maneno yenye apostrofi ni ng'ombe na ng'ata.
Kwa Kiingereza ni alama inayotumika zaidi ikionyesha hasa hali ya jambo kuwa mali ya fulani:
- Mike's car = gari ka Mike
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Apostrofi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |