Annise Parker

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Annise Parker

Annise Danette Parker (amezaliwa tar. 17 Mei 1956) ni meya mpya wa mji wa Houston jimboni Texas. Ni meya shoga wa kwanza wa mji mkubwa nchini Marekani. Wakati wa kampeni za uchaguzi alijulikana sana wakati huo alipojitangaza kuwa ni shoga. Parker ni mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia na alikuwa ni mwanachama wa baraza la mji katika Houston.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]