Ambasse bey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ambasse bey ni mtindo wa dansi za  kiasili na ni dansi kutoka Kameruni.Muziki huo unategemea ala zinazopatikana kwa kawaida, hasa gitaa, na milio ya vijiti na chupa.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Bitjomè Bi Man Mbai (2013-02-11). "Salle John, Sur la naissance du Makossa !". Iliwekwa mnamo 2016-04-07. 
  2. "Ambasse bey - Alchetron, The Free Social Encyclopedia". Alchetron.com (kwa en-US). 2017-08-18. Iliwekwa mnamo 2023-02-26.