Akande Ajide

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Olasunkanmi Akande Ajide (alizaliwa 24 Desemba 1985) ni kiungo wa kati wa kandanda wa Nigeria.Olasunkanmi Alitumia muda mwingi kucheza nchini Italia na Uswizi, ambapo alimaliza kazi yake na klabu ya US Versio.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Italia Olasunkanmi Alianza uchezaji wake Uropa akiwa na klabu ya Reggiana, pamoja na Isah Eliakwu, Obafemi Martins na Adewale Wahab. Alitolewa kwa mkopo kwenda timu ya A.C. Milan Allievi Nazionali kwa msimu wa 2001-02 na akashinda 2002 Torneo Città diArco. [1]

Uswisi Katika majira ya kiangazi ya 2005 Olasunkanmi aliondoka kwenda upande wa Uswizi klabu ya AC Bellinzona iliyoko katika eneo linalozungumza Kiitaliano la Ticino kwa uhamisho wa bure, [2] .

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Milan squad". Torneo Città di Arco official site (kwa Italian). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-03-05. Iliwekwa mnamo 3 July 2010.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Chiusura della campagna trasferimenti:operazioni di mercato perfezionate in data odierna", AS Roma, 2005-08-31. Retrieved on 2010-01-22. (Italian) 

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Akande Ajide kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.