Aga Khan Jamaat Khana, Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aga Khan Jamaat Khana, Zanzibar.

Aga Khan Jamaat Khana ni msikiti wa mwanzo wa dhehebu la Kish'ia huko Zanzibar uliojengwa eneo la Forodhani; kwa kiasi kikubwa msikiti huo ulijengwa mnamo mwaka 1905.

Katika nusu ya pili ya karne ya 19, jamii za Waislamu kutoka bara la India zilianza kujenga misikiti katika Mji Mkongwe; huo ulijulikana kama Msikiti wa Aga Khan, au Ismaili Jamatkhana.

Sehemu kubwa ya msikiti imechongwa milango ya mbao ya mtindo wa Kigujarati na paneli zilizohifadhiwa. [1] [2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu majengo ya kihistoria Zanzibar bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aga Khan Jamaat Khana, Zanzibar kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.