Udhibiti wa uzazi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Translated from English by Paul Warambo (Translators Without Borders)
(Hakuna tofauti)

Pitio la 18:13, 28 Novemba 2013

Kigezo:Infobox interventions

Udhibiti wa uzazi, pia huitwa kontraseptivu na udhibiti wa uwezo wa kuzaa, ni mbinu au vifaa vinavyotumika kuzuia mimba.[1] Upangaji, utoaji na utumiaji wa udhibiti wa uzazi huitwa upangaji uzazi .[2][3]Kufanya ngono kwa njia bora, kama vile matumizi ya kondomu ya kike au ya kiume, pia yanaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa.[4][5] Mbinu za kudhibiti uzazi zimetumika tangu kale, lakini mbinu zinazofaa zilipatikana karne ya 20.[6] Utamaduni zingine hukashifu matumizi ya udhibiti wa uzazi kimakusudi kwa sababu wanachukulia kuwa haifaii kimaadili na kisiasa.[6]

Mbinu zinazofaa zaidi za kudhibiti uzazi ni ufungaji uzazi kwa njia ya vasektomi kwa wanaume na ukataji wa neli kwa wanawake, kifaa kinachotiwa ndani ya uterasi (IUD) na kontraseptivu zitiwazo mwilini. Hufuatiwa na baadhi ya kontraseptivu za homoni ikiwa ni pamoja na dawa za kunywa, doa, pete ya uke, na dawa za sindano. Mbinu zinazofaa ni pamoja na kizuizi kama vile kondomu, daframu na sponji ya kontraseptivu na mbinu ya mafunzo ya uzazi. Mbinu zinazofaa kidogo zaidi ni spemesidi na kukatiza kwa mwanaume kabla ya kumwaga mbegu. Ufungaji uzazi, ingawa hufaa zaidi, haiwezi kutumika tena; mbinu zingine zote zinaweza kutumika, mara nyingi baada ya kukomesha.[7]Udhibiti wa uzazi wa dharura unaweza kuzuia mimba siku chache baada ya kufanya ngono bila kinga. Wengine huchukulia kujinyima ngono kama njia ya kudhibiti uzazi, lakini mafundisho ya kujinyima ngono yanaweza kuongeza mimba kwa vijana yatumiwapo bila mafundisho.[8][9]

Katika vijana, huwa katika hatari ya matokeo duni. Mafunzo ya ngono kwa undani na upatikanaji wa udhibiti wa uzazi hupunguza kiwango cha mimba zisizotarajiwa katika kikundi hiki.[10][11] Ilhali aina zote za udhibiti wa uzazi zinaweza kutumiwa na vijana,[12]udhibiti wa uzazi usio wa kudumu unaotenda kazi kwa muda mrefu kama vile kontraseptivu za kutia mwilini, IUD, au pete za ukeni zina manufaa maalum kwa kupunguza viwango vya mimba za vijana.[11] Baada ya kuzaliwa kwa mtoto, mwanamke asiyenyonyesha tu anaweza kuwa mjamzito mapema kuanzia wiki nne hadi sita. Njia zingine za kudhibiti uzazi zinaweza kuanzishwa baada ya kuzaa, ilhali zingine hungoja hadi miezi sita. Kwa wanaonyonyesha mbinu za projestini tu hupendekezwa kuliko kontraseptivu za kunywa. Kwa waliofikisha ukomohedhi imependekezwa kuwa waendelezwe kwa mwaka mmoja baada ya hedhi ya mwisho.[12]

<!—Maenezi na athari --> Takribani milioni 222 ya wanawake wanaokusudia kuzuia mimba katika nchi zinazoendelea hawatumii mbinu za kisasa za kudhibiti mimba.[13][14] Utumiaji wa udhibiti wa uzazi katika nchi zinazokuwa umepunguza idadi ya vifo vya kina mama kwa asilimia 40 (takribani vifo 270,000 vilizuiliwa katika mwaka wa 2008) na ungezuia asilimia 70 iwapo matakwa yote yangetimizwa.[15][16] Kwa kuacha nafasi kati ya mimba, udhibiti wa uzazi unaweza kuboresha matokeo ya kuzaa kwa wanawake wazima na kuishi kwa watoto wao.[15] Katika ulimwengu unaokuwa mapato ya wanawake, raslimali, uzito, na kusoma kwa watoto wao na afya huboreshwa kwa upatikanaji mwingi zaidi wa udhibiti wa uzazi.[17] Udhibiti wa uzazi huongeza ukuaji wa uchumi kwa sababu ya watoto wachache wanaokutegemea, wanawake wengi kushirikia katika utendakazi, na matumizi mdogo wa rasilimali haba.[17][18]

Mbinu

Chance of pregnancy during first year of use:[6][19]
Method Typical use Perfect use
No birth control 85% 85%
Combination pill 8% 0.3%
Progestin-only pill 13% 1.1%
Sterilization (female) 0.5% 0.5%
Sterilization (male) 0.15% 0.10%
Condom (female) 21% 5%
Condom (male) 18% 2%
Copper IUD 0.8% 0.6%
Hormone IUD 0.2% 0.2%
Patch 8% 0.3%
Vaginal ring 9% 0.3%
Depo Provera 3-6% 0.2%
Implant 0.05% 0.05%
Diaphragm and spermicide 12% 6%
Withdrawal 27% 4%
Standard days method ~12-25% ~1-9%
Lactational amenorrhea method 0-7.5%[20] <2%[21]

Mbinu hizi ni pamoja na mbinu za kizuizi, Udhibiti wa uzazi kwa homoni, vifaa vinavyotiwa ndani ya uterasi (IUD), ufungaji wa uzazi, na mbinu za kitabia. Hutumiwa kabla au wakati wa kufanya ngono ilhali udhibiti wa uzazi kwa dharura hufaa kwa hadi siku chache baada ya kufanya ngono. Kufaa huelezwa kama asilimia ya wanawake wanaoshika mimba wanapotumia njia fulani kwa muda wa mwaka mmoja[22] na wakati mwingine kama kiwango cha kufeli cha maisha kati ya mbinu zinazofaa zaidi, kama vile, ukataji wa neli.[23]

Mbinu zinazofaazo ni zile hutenda kazi kwa muda mrefu na hazihitaji ziara za kuendeleza utunzaji wa afya.[24] Ufungaji wa uzazi, homoni zinazoweza kutiwa mwilini, na vifaa vinavyotiwa ndani ya uterasi huwa na kiwango cha kufeli kwa mwaka wa kwanza chini ya asilimia 1.[24] Dawa za kontraseptivu za homoni, madoa au pete, na mbinu ya lactational amenorrhea (LAM), inapotumiwa ipasavyo pia inaweza kuwa na kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza chini ya asilimia 1 (au kwa lactational amenorrhea (LAM), miezi ya sita ya kwanza).[24] Kwa kutumia, viwango vya kufeli katika mwaka wa kwanza ni vya juu, katika kiwango cha asilimia 3-9, kwa sababu ya matumizi mabaya.[24] Mbinu zingine kama vile mafunzo ya uzazi, kondomu, daframu, na spematosidi huwa na viwango vya juu zaidi vya kufeli katika mwaka wa kwanza hata kwa matumizi sahihi.[24]

Ingawaje mbinu zote za kudhibiti uzazi zina uwezekano wa athari, hatari ni chache kuliko zile za mimba.[24] Baada ya kuacha au kutoa njia nyingi za kudhibiti uzazi, pamoja na kontraseptivu za kunywa, IUD, dawa za kutia mwilini na sindano, kiwango cha mimba kwa miaka inayofuata ni sawa na wasiotumia udhibiti wa uzazi.[25]

Kwa walio na matatizo maalum ya afya, mbinu fulani za kudhibiti uzazi zinaweza kuhitaji uchunguzi zaidi.[26] Kwa kina mama wenye afya, njia nyingi za kudhibiti uzazi hazipaswi kufanyiwa uchunguzi wa tiba ikiwa ni pamoja na dawa za kudhibiti uzazi, udhibiti wa uzazi unaoweza kudungwa au kutiwa mwilini, na kondomu.[27] Hasa, uchunguzi wa pelvisi, uchunguzi wa matiti, au uchunguzi wa damu kabla ya kutumia dawa za kudhibiti uzazi hauonekani kuathiri matokeo na hivyo hauhitajiki.[28][29] Shirika la Afya Ulimwenguni katika 2009 lilichapisha kwa undani orodha ya njia ya tiba ya kubaini kufaa kwa kila aina ya udhibiti wa uzazi.[26]

Homoni

Kontraseptivu za homoni hutenda kazi kwa kuzuia uovuleshaji na utungaji mimba.[30] Hupatikana kwa baadhi ya aina tofauti ikiwa ni pamoja na tembe za kunywa, dawa za kutia mwilini ndani ya ngozi, sindano, madoa, IUD na Pete ya uke. Kwa sasa zinazopatikana ni za wanawake tu. Kuna aina mbili za dawa za kunywa Tembe za kontraseptivu za kunywa zilizochanganywa na tembe zilizo na projestojeni tu.[31]Zinapotumiwa wakati wa ujauzito, haziongezi hatari ya kuharibika kwa mimba wala kusababisha matatizo ya kuzaa.[29]

Kontraseptivu za homoni zilizochanganywa huhusishwa kidogo na ongezeko la vena na madonge ya damu ya ateri; hata hivyo, hatari ni kidogo kuliko inayohusishwa na mimba.[32] Kwa sababu ya hatari, hazipendekezwi kwa wanawake walio na umri wa zaidi ya miaka 35 amabao huendlea kuvuta sigara.[33] Athari kwa hamu ya kufanya ngono hutofautiana, huku kukiwa na ongezeko au kupungua kwa wachache lakini hakuna athari kwa wengi.[34] Kontraseptivu za kunywa zilizochanganywa hupunguza hatari ya saratani ya ovari na saratani ya endometriu na haibadilishi hatari ya saratani ya matiti.[35][36] Mara nyingi hubadilisha hedhi na mkakamao wa hedhi uliyo na maumivu.[29] Dozi za chini za estrojeni zinazopatikana kwenye pete ya ukeni zinaweza kupunguza hatari ya uchungu wa matiti, kichefuchefu, na maumivu ya kichwa yanayohusishwa na bidhaa zilizo na dozi ya juu ya estrojeni.[35]

Tembe zilizo na projestini tu, sindano na vifaa vya kuzuia mimba vinavyotiwa ndani ya uterasi havihusishwi na ongezeko la hatari ya kuganda kwa damu na vinaweza kutumiwa na wanawake waliokuwa na mgando wa damu hapo awali katika vena zao.[32][37] wa walio na historia ya kuganda kwa damu katika ateri, mbinu za kudhibiti uzazi zisizo na homoni au zilizo na projestini tu kando na zile za sindano zinapaswa kutumiwa.[32] Tembe zilizo na projestini tu zinaweza kuboresha dalili za hedhi na zinaweza kutumiwa na kina mama wanaonyonyesha kwa kuwa haziathiri kutengenezwa kwa maziwa.Hedhi isiofuatana inaweza kushuhudiwa kwa kutumia njia zilizo na projestini tu, huku baadhi ya wanaotumia wakiripoti kutopata hedhi.[38] Projestini, drospirenoni na desogestreli hupunguza athari za androjeni lakini huongeza hatari ya kuganda kwa damu na hivyo haifai sana.[39] Kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa projestini ya sindano, Depo-Provera, hakijaafikiwa huku idadi ikiwa kutoka asilimia 1[40]hadi asilimia 6.[24]

Kizuizi

kondomu ya wanaume iliyofunguliwa Kontraseptivu za kizuizi ni vifaa vinavyojaribu kuzuia mimba kwa kuzuia mbegu ya kiume kuingia katika uterasi.[41] Huwa ni pamoja na Kondomu ya wanaume, kondomu ya wanawake, kofia ya seviksi, daframu, na sponji ya kontraseptivu iliyo na spemisidi.[41]

Ulimwenguni, kondomu ndiyo njia ya kawaida sana ya kudhibiti uzazi.[42]Kondomu za wanaume huvalishwa kwa uume iliyosimama na kuzuia mbegu za kiume zilizotolewa kuingia mwili wa anayefanya ngono naye.[43] Kondomu za kisasa mara nyingi hutengenezwa kwa lateksi, lakini zingine hutengenezwa kwa nyenzo kama vile polyurethane, au matumbo ya kondoo.[43] Kondomu za wanawake pia hupatikana, mara nyingi zilizotengenezwa kwa nitrile, lateksi au poliyourethani.[44] Kondomu za wanaume huwa na faida kwa sababu ni bei nafuu, rahisi kutumia, na huwa na athari chache.[45] Nchini Japani takribani asilimia 80 ya wachumba wanaotumia udhibiti wa uzazi hutumia kondomu ilhali nchini Ujerumani kiwango hiki ni takribani asilimia 25,[46] na nchini Marekani ni asilimia 18.[47]

Kondomu za wanaume na daframu iliyo na spemisidi huwa na kiwango sawa cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa asilimia 15 na 16 mtawalia.[6] Inapotumiwa ipasavyo huwa bora zaidi ikiwa na kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa asilimia 2 huku daframu ikiwa na kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa asilimia 6.[6] Kondomu huwa na faida nyingine ya kusaidia kuzuia kuenea kwa maambukizi mengine ya ngono kama vile VVU/UKIMWI.[7]

Sponji za kontraseptivu huunganisha kizuizi na spemisidi.[24] Kama daframu, huingishwa kwa ukeni kabla ya ngono na inapaswa kuwekwa juu ya seviksi kwa matokeo bora.[24] Kufeli katika mwaka wa kwanza hulingana na iwapo mwanamke amewahi kuzaa au la, ikiwa asilimia 24 kwa wale wamewahi kuzaa na asilimia 12 kwa wale hawajawahi kuzaa.[24] Sponji inaweza kuingishwa hadi masaa 24  kabla ya kufanya ngono na inapaswa kuachwa pale kwa angalau masaa sita baadaye.[24] Athari ya aleji[48] na athari zingine kali kama vile sindromu ya mshtuko wa sumu zimeripotiwa.[49]

Vifaa vinavyotiwa ndani ya uterasi

Vifaa Vitiwavyo ndani ya uterasi (IUD) huwa vifaa vidogo vilivyo na umbo la 'T'-, ambavyo huwa na shaba au levonorgestrel, iliyoingishwa ndani ya uterasi.[50] Ni aina ya udhibiti wa uzazi wa muda mrefu. Kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa kutumia IUD ya shaba ni takribani asilimia 0.8 ilhali IUD ya levonorgestrel huwa na kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza cha asilimia 0.2.[6] Kati ya aina za kudhibiti uzazi pamoja na dawa za zinazotiwa mwilini matokeo yake huwa ya kuridhisha kwa wanaotumia.[51]

Dhibitisho hukubaliana na matokeo bora na usalama kwa vijana[51] na wale ambao hawajawahi kuzaa.[52] IUD haziathiri unyonyeshaji na zinaweza kuingishwa baada ya kuzaa.[53] Zinaweza pia kutumiwa baada ya uavyaji mimba.[54] Zinapotolewa, hata baada ya kutumika kwa muda mrefu, uwezo wa kuzaa hurudi kama kawaida mara moja.[55] Ilhali IUD za shaba zinaweza kuongeza hedhi na kusababisha mikakamo iliyo na maumivu zaidi,[56] IUD za homoni zinaweza kupunguza hedhi au kutokuwepo kwa hedhi yote kwa pamoja.[53] Athari zingine zinaweza kuwa ni pamoja na kutoka( asilimia 2 had5) – na kwa nadra, kushuka kwa uterasi (chini ya asilimia 0.7).[53][57] Kuwa na mikakamo kunaweza kutibiwa kwa NSAID.[57]

Kufikia 2007, IUD ndizo aina za kudhibiti uzazi zisizo za kudumuzinazotumika sana, zikiwa na zaidiyawatu milioni 180 wanaozitumia kote ulimwenguni.[58][59] Hapo awali aina ya kifaa kinachotiwa ndani ya uterasi (Kinga ya Dalkon) kilihusishwa na ongezeko la hatari ya ugonjwa wa inflamesheni ya pelvisi; hata hivyo, hatari haihusishwi na aina za kisasa kwa wale wasio na maambukizi ya zinaa karibu na wakati wa kuingishwa.[60]

Kufunga uzazi

ufungaji uzazi kwa upasuaji hupatikana kwa njia ya kufunga uzazi kwa wanawake na vasektomi kwa wanaume.[6] Hakuna athari kuu za muda mrefu, na kufunga uzazi hupunguza hatari ya saratani ya ovari.[6] uwezekano wa athari za muda mfupi zinazotokana na vasektomi huwa chini ya mara ishirini na tano kuliko ufungaji uzazi wa mwanamke.[6][61] Baada ya vasektomi kunaweza kuwa na uvimbe na maumivu ya korodani ambayo kwa kawaida huisha baada ya wiki moja au mbili.[62] Kwa kufunga uzazi wa mwanamke athari hutokea kwa asilimia 1 hadi 2 za taratibu kukiwa na athari kali kwa kawaida zinazosababishwa na ganzi.[63] Kati ya mbinu hizi hakuna inayokinga dhidi ya maambukizi ya zinaa.[6]

Wanawake wengine hujuta baadaye: takribani asilimia 5 ya walio na umri wa zaidi ya 30, na takribani asilimia 20 walio na umri wa chini ya 30 .[6] Wanaume huwa na uwezekano mdogo wa kujuta kwa sababu ya ufungaji uzazi (<asilimia5); huku walio na umri mdogo, walio na watoto wachanga au bila, na ndoa zinazoyumbayumba zikiongeza hatari.[64] Katika uchunguzi mmoja wa watu waliowahi kuwa na watoto, asilimia 9 walisema kuwa hawangepata watoto tena iwapo wangefunga uzazi tena.[65]

Ingawaje ufungaji uzazi huchukuliwa kuwa utaratibu wa kudumu,[66] inawezekana kujaribu kurejesha uzazi kuunganisha tena neli ya falopia au kupindua vasektomi ili kutoa vasa diferentia. Hamu ya wanawake kutaka kurejesha huhusishwa mara nyingi na hubadilisha wa mwanaume.[66] Viwango vya kufaulu kupata mimba baada ya kurejesha uzazi huwa kati ya asilimia 31 hadi 88, huku athari ikiwa ni pamoja na ongezeko la hatari ya mimba bandia.[66] Idadi ya wanaume ambao huomba kurejesha ni kati ya asilimia 2 na 6.[67] Kiwango cha mwanaume kufaulu kupata mtoto mwingine baada ya kurejesha ni kati ya asilimia 38 na 84; huku kiwango cha kufaulu kikiwa chini kulingana na muda kati ya utaratibu wa kwanza na kurejesha.[67] Kutolewa kwa mbegu za kiume kukifuatiwa na utungisho katika vitro pia kunaweza kuwa njia nyingine.[68]

Hali ya tabia

Mbinu za kitabia ni kudhibiti wakati au njia ya kufanya ngono ili kuzuia mbegu kuingia katika njia ya uzazi ya mwanamke, wakati wowote au wakati kuna uwezekano wa kuwepo kwa yai.[69] Inapotumiwa ipasavyo kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kinaweza kuwa takribani asilimia 3.4, hata hivyo, isipotumiwa ipasavyo viwango vya kufeli mwaka wa kwanza vinaweza kuwa takribani asilimia 85.[70]

Mafundisho ya uzazi

Mbinu ya mafundisho ya uzazi huhusisha ubainishaji wa siku bora ya kushika mimba katika kipindi cha hedhi na kuepuka ngono bila kinga.[69] Mbinu za kubaini uzazi huwa ni pamoja na kuchunguza halijoto, unyesaji wa seviksi, au siku ya hedhi.[69] Huwa na kiwango cha kufeli katika mwaka wa kwanza kwa kati ya asilimia 12 na 25; Viwango vya kufeli katika mwaka wa kwanza baada ya matumizi bora hulingana na mfumo uliotumiwa na huwa asilimia 1 hadi 9.[6] Dhibitisho linalozingatiwa na makadirio haya, hata hivyo, ni hafifu kwa kuwa watu wengi wanaojaribu kuzitumia huacha mapema.[69] Ulimwenguni, hutumiwa na takribani asilimia 3.6 ya wachumba.[71]

Iwapo yatazingatia halijoto na ishara zingine kuu, njia hii huitwa symptothermal. Viwango vya mimba zisizotarajiwa vimeripotiwa kati ya asilimia 1 na 20 kwa wanaotumia symptothermal.[72]

Kukatiza ngono

Mbinu ya kukatiza ngono, ni shughuli ya kukatiza kufanya ngono ("kuvuta nje") kabla ya kumwaga mbegu za kiume.[73] Hatari kuu ya kukatiza ngono ni kuwa mwanaume anaweza kutotoa kwa usahihi au kwa wakati unaofaa.[73] Viwango vya kufeli katika mwaka wa kwanza huwa kati ya asilimia 4 inapotumiwa ipasavyo hadi asilimia 27 isipotumiwa ipasavyo.[26] Haichukuliwi kuwa udhibiti wa uzazi na baadhi ya weledi wa afya.[24]

Kuna dhibitisho ndogo kuhusu idadi ya mbegu za kiume katika kiowevu kabla ya kumwaga.[74] Ilhali baadhi ya uchunguzi haukupata mbegu,[74] jaribio moja liligundua kuwepo kwa mbegu kwa watu 10 kutoka kwa 27 ya waliojitolea.[75] Mbinu ya kukatiza ngono hutumiwa na takribani wachumba asilimia 3.[71]

Kujinyima ngono

Ingawa makundi mengine hukubaliana na Kujinyima ngono, hii humaanisha kuepuka shughuli zote za ngono, katika muktadha wa kudhibiti uzazi neno hili humaanisha kujinyima ngono inayohusisha ukeni.[76][77] Kujinyima ngono hufaa kwa asilimia 100 katika kuzuia mimba; hata hivyo, sio kila anayekusudia hujinyima shughuli zote za ngono, na katika idadi nyingi za watu huwa na hatari nyingi za mimba kutokana na ngono isiyokubaliwa.[78][79]

Elimu ya kujinyima ngono haipunguzi mimba za vijana.[5][80] Mimba za vijana huwa nyingi wanapopewa elimu ya kujinyima ngono, ikilinganishwa na elimu ya ngono. [81][80] Baadhi ya mamlaka hupendekeza kuwa wanaojinyima ngono wawe na mbinu zingine za kutumia (kama vile kondomu au tembe za kontraseptivu za dharura).[82] Ngono isiyo ya kuingiliana bila ngono ya ukeni na ngono ya mdomo bila ngono ya ukeni pia wakati mwingine hutumiwa.[83] Ilhali kwa kawaida huzuia ujauzito, ujauzito bado inaweza kupatikana kwa ngono ya katikati ya miguu na mbinu zingine za ngono ambapo uume huwa karibu na ukeni (kusugua viungo vya uzazi, na kutoka kwa uume kutoka kwa ngono ya unyeo) ambapo mbegu ya kiume yanaweza kumwagika karibu na ukeni na yanaweza kupitia viowevu vinavyolainisha uke.[84][85]

Unyonyeshaji

Mbinu ya amenorea ya unyonyeshaji huhusisha matumizi ya utasa wa baada ya kuzaa wa kiasili wa mwanamke na unaweza kuendelezwa kwa kunyonyesha.[86] Hii kwa kawaida huhitaji kutokuwepo kwa damu ya hedhi, Kunyonyesha tu mtoto mchanga, na mtoto aliye chini ya miezi sita.[21] Shrika la Afya Ulimwenguni Hueleza kuwa iwapo kunyonyesha ndio njia ya pekee ya mtoto kupata chakula, kiwango cha kufeli katika miezi ya sita ya kwanza baada ya kuzaa ni asilimia 2.[87] Majaribioyametambua viwango vya kufeli kuwa kati ya asilimia 0 hadi 7.5.[20] Viwango vya kufeli huongezeka hadi asilimia 4-7 katika mwaka moja na asilimia 13 katika miaka miwili.[88] Kulisha watoto, kubembeleza badala ya kutunza, matumizi ya mpira wa watoto, na kulisha chakula kigumu vyote huongeza kiwango chake cha kufeli. [89] Kwa wale wanaonyonyesha, takribani asilimia 10 hupata hedhi kabla ya miezi tatu na asilimia 20 kabla ya miezi sita.[88] Kwa wanaonyonyesha, uwezo wa kuzaa unaweza kurudi wiki nne baada ya kuzaa.[88]

Dharura

Mbinu za Udhibiti wa uzazi wa dharura ni dawa (tembe za asubuhi) au vifaa vinavyotumika baada ya ngono bila kinga kwa matarajio ya kukinga mimba.[90] Utendakazi kwa kuzuia uovulesheni au utungaji mimba.[91] Baadhi ya njia hupatikana, ikiwa ni pamoja na dozi ya juu ya tembe za kudhibiti uzazi, levonorgestrel, mifepristone, ulipristal na IUD.[92] tembe za levonorgestrel hupunguza uwezekano wa mimba kwa asilimia 70 (kiwango cha mimba asilimia 2.2) inapotumiwa kati ya siku 3  baada ya ngono bila kinga au kufeli kwa kondomu.[90]Ulipristal hupunguza uwezekano wa mimba kwa asilimia 85 (kiwango cha mimba hadi asilimia 1.4) hadi siku 5  na inaweza kuwa bora kuliko levonorgestrel.[93][92][90] Mifepristone pia huwa bora zaidi kuliko levonorgestrel ilhali IUD za shaba ndizo njia bora zaidi.[92] IUD zinaweza kutiwa siku 5  baada ya ngono na kuzuia takribani asilimia 99 ya mimba (kiwango cha mimba cha asilimia 0.1 hadi 0.2).[91][94] Hii huzifanya kuwa aina mbinu bora zaidi wa kudhibiti uzazi kwa dharura.[95]

Kupeana tembe za asubuhi kwa kina mama mapema haiathiri kiwango cha maambukizi ya ngono, matumizi ya kondomu, viwango cha mimba, au tabia hatari ya ngono.[96][97] Mbinu zote huwa na athari chache.[92]

Kinga mbili

Kinga mbili ni matumizi ya mbinu zinazozuia maambukizi ya zinaa na mimba.[98] Hii inaweza kuwa kwa kodomu pekee au pamoja na mbinu nyingine ya kudhibiti uzazi au kwa kuepuka ngono ya kuingiliana.[99][100] Iwapo mimba ni hoja kuu kutumia njia zote mbili kwa wakati mmoja kunakubalika,[99] na aina zote mbili zimependekezwa kwa wale wanaotumia dawa isiyo na chunusiisotretinoini, kwa sababu ya hatari kuu ya matatizo ya uzazi itumiwapo wakati wa ujauzito.[101]

Athari

Afya

maternal mortality rate map
Maternal mortality rate as of 2010[102]

Matumizi ya kontraseptivu katika nchi zinazoendelea umekadiriwa kupunguza idadi ya vifo vya kina mama kwa asilimia 40 (takribani vifo 270,000 vilizuiliwa katika 2008) na ungepunguza asilimia 70 ya vifo iwapo matakwa yote ya udhibiti wa uzazi yangetimizwa.[16][15] Faida hizi hupatikana kwa kupunguza idadi ya mimba zisizotarajiwa ambazo husababisha uavyaji mimba usiokuwa salama na kwa kuzuia mimba kwa walio na hatari kuu.[15]

Udhibiti wa uzazi huboresha kuishi kwa mtoto katika ulimwengu unaokuwa kwa kuacha nafasi kubwa kati ya mimba.[15] Katika idadi hii ya watu matokeo huwa mabaya zaidi mama anaposhika mimba kati ya miezi kumi na nane ya baada ya kujifungua.[15][103] Kuchelewesha mimba baada ya kuharibika kwa mimba hata hivyo haonekani kupunguza hatari na wanawake hushauriwa kujaribu kushika mimba katika hali hii wakati wowote wanapokuwa tayari.[103]

mimba za vijana, hasa kwa vijana wachanga, huwa katika hatari kuu ya matokeo mabaya pamoja nakuzaa mapema, kuzaa mtoto aliye na uzito wa chini, na kifo cha mtoto.[10] Nchini Marekani asilimia 82 ya mimba kwa walio kati ya 15 na 19 ni zile zisizopangwa.[57] mafundisho ya ngono kwa kina na utumiaji wa kontraseptivu huwa bora katika idadi ya mimba katika kikundi hiki cha umri.[104]

Ufadhili

fertility rate map
Countries by fertility rate as of 2012.
     7–8      6–7      5–6      4–5
     3–4      2–3 Children      1–2 Children      0–1 Children

Katika nchi zinazokuwa, udhibiti wa uzazi huongeza ongezeko la uchumi kwa sababu ya kuwepo kwa watoto wachache wategemezi na hivyo mama hushiriki katika utendakazi.[17] Mapato ya wanawake, rasilimali, Kielelezo cha uzito wa mwili, na kielelezo cha mwili na usomaji wa watoto itaongezeka kukiwa na udhibiti wa uzazi.[17] Upangaji uzazi kwa kutumia udhibiti wa kisasa ni njia bora zaidi kwa afya.[105] Kwa kila dola inayotumiwa, Umoja wa Kimataifa hukadiria kuwa karibu dola mbili hadi sita huwekezwa.[106] Huwekezaji huu huhusiana na uzuiaji wa mimba zisizopangwa na upunguzaji wa maradhi ya kuambukizana.[105] Ilhali mbinu zote zinaleta manufaa ya kifedha, matumizi ya IUD za shaba zilisaida katika uwekezaji.[105] Kufikia mwaka wa 2012 gharama yote ya matitabu ya ujauzito, kuzaa na utunzaji wa mtoto mchanga nchini Marekani ni takribani dola 21,000 kwa kuzaa kupitia uke na dola 31,000 kupitia Upasuaji.[107] Katika nchi nyingi gharama huwa chini ya nusu.[107] Kwa mtoto aliyezaliwa mwaka wa 2011, familia ya kawaida nchini Marekani hutumia dola 235,000 kwa zaidi ya miaka 17 kumlea.[108]

Maambukizi

prevalence of modern birth control map
Percentage of women using modern birth control as of 2010.
     6%      12%      18%      24%      30%      36%
     42%      48%      54%      60%      66%      72%
     78%      84%      86%      no data

Kote ulimwenguni, kufikia mwaka wa 2009, karibu asilimia 60 ya waliokuwa wameolea na kupata watoto walitumia udhibiti wa uzazi.[59] Namna ambavyo mbinu mbalimbali hutiwa hutofautiana katika nchi.[59] Mbinu ya kawaida katika nchi zilizoendelea ni kondomu na dawa ya kumeza, ilhali barani Afrika ni dawa ya kumeza na kule Marekani Kusini na Asia ni ufungaji wa uzazi.[59] Katika nchi zinazoendelea duniani, asilimia 35 ya udhibiti wa uzazi ni kupitia ufungaji wa uzazi wa kike, asilimia 30 ni kupitia IUD, asilimia 12 ni kupitia dawa ya kumeza, asilimia 11 ni kupitia kondomu, na asimia 4 ni kupitia ufungaji uzazi wa kiume.[59] Wakati inatumika mara chache kwa nchi zilizoendelea kuliko zinazoendelea, kufikia mwaka wa 2007 wanawake zaidi ya milioni 180, walikuwa wakitumia IUD [58] Huepukanaji wa ngono wakati wa kuwa na uwezo wa kupata mimba inatumiwa na wanawake karibu asilimia 3.6 wanaoendelea kuzaa, na kutumika sana kwa asilimia 20 kule Marekani Kusini.[109] Kufikia mwaka wa 2005, asilimia 12 ya wachumba walikuwa wanatumia mbinu ya kiume ya kuzuia mimba (mojawapo ya kondomu au utoaji wa mrija wa mbegu) hali nyingi zikiwa katika nchi zilizoendelea.[110] Matumizi ya kudhibiti uzazi kwa kutumia njia ya wanaume imepungua kati ya mwaka wa 1985 na 2009.[59] Matumizi ya dawa za kuzuia mimba kwa wanawake katika Kusini mwa Jangwa la Sahara imeongezeka kutoka karibu asilimia 5 mwaka wa 1991 hadi karibu asilimia 30 katika mwaka wa 2006.[111] Kufika mwaka wa 2012, asilimia 57 ya wanoendelea kuzaa wanataka kuepukana na ujauzito (milioni 867 kati ya 1520 [112] Hata hivyo karibu milioni 222 ya wanawake hawakuweza kupata udhibiti wa kuzaa, milioni 53 wakiwa Kusini mwa Jangwa la Sahara na milioni 97 wakiwa Asia.[112] Hii inasababisha milioni 54 ya mimba zisizopangwa na karibu vifo 80,000 vya kina mama kila mwaka.[59] Baadhi ya sababu za wanawake kutokuwa na huduma ya udhibiti ni sababu za kidini na kisiasa,[6] ilhali Umasikini huchangia pia.[113] Kwa sababu ya sheria za kutoa mimba katika Kusini mwa Jangwa la Sahara, wengi hutafuta watoaji mimba wasiokuwa na kibali kwa mimba zisizopangwa, inayosababisha karibu asimilia 2-4 ya utoaji mimba usiokuwa salama kila mwaka.[113]

Historia

ancient coin depicting silphium
Ancient silver coin from Cyrene depicting a stalk ofsilphium

Ebers Papyrus ya Misri kutoka 1550  na Kahun Papyrus kutoka 1850 BCE zina maelezo ya kuhusu udhibiti wa kuzaa, matumizi ya asali, matawi na nyuzi za pamba ya acacia zinazowekwa ukeni ili zizuie mbegu ya kiume.[114][115] Michoro ya zamani ya Misiri yanaonyesha matumizi ya kondomu.[46] Hali ya kutoa kiungo cha kiume kulingana na Kitabu cha Mwanzo au coitus interruptus, kama njia ya kudhibiti uzazi wakati Onan "hutoa mbegu za kiume" (kumwaga) chini ili asipate mtoto bibi ya kakaye aliyekufaTamar.[114] Inaaminika kuwa hapo zamani nchini Ugirikisilphium ilitumiwa kudhibiti uzazi, kwa sababu ya kudumu na ubora wake, ulivunwa hadi ukaisha.[116] Katika Ulaya ya kisasa, juhudi za kutoa mimba ulichukuliwa kama uovu na Kanisa la Kikatoliki.[114] Inaaminika kuwa wanawake hadi leo bado hutumia baadhi ya mbinu za kudhibiti uzazi kama vile coitus interruptus na kuingiza mizizi ya lily na rue katika ukeni (na, zaidi ya hayo, uuaji wa mtoto mchanga baada ya kuzaliwa).[117] Casanova (1725-1798), wakati wa kuchipuka upya kwa Italia alielezea jinsi ya kutumia ngozi ya kondoo kuzuia ujauzito; hata hivyo, upatikanaji wa kondomu haikutokea hadi karne ya 20.[114] Mnamo mwaka wa 1909, Richard Richter alitengeneza kifaa cha kuweka ndani ya uterasi kutokana na uzi nyororo ya utumbo, ambacho kilitengenezwa zaidi na kuuza nchini Ujerumani na Ernst Gräfenberg mwishoni mwa miaka ya 1920.[118] Mnamo 1916 Margaret Sanger alifungua kituo cha kwanza cha kudhibiti uzazi nchini Marekani iliyosababisha akamatwe.[114] Hii ilifuatiwa na kituo cha kwanza barani Ulaya mwaka wa 1921, kilichofunguliwa na Marie Stopes.[114] Gregory Pincus na John Rock kutokana na usaidizi kutoka Planned Parenthood Federation of America walitengeneza vidonge vya dawa vya kudhibiti uzazi miaka ya 1950 iliyoanza kuuzwa kwa umma miaka ya 1960.[119] Dawa za kutoa mimba ilitumika badala ya utoaji wa mimba kwa njia ya upasuaji kwa kuwepo kwa prostaglandin analog na kuwepo kwa mifepristone miaka ya 1980.[120]

Jamii na utamaduni

Hali ya sheria

Maafikiano ya Haki za Kibinadamu zinahitaji serikali nyingi zitoe huduma na maelezo ya upangaji uzazi. Hii ilijumuisha mahitaji ya kutengeneza mpango wa kitaifa wa kupanga uzazi, kutoa sheria zinazozuia huduma ya kupanga uzazi, kuhakikisha kuna aina mbaliambali za mbinu salama na bora za kupanga uzazi pamoja na udhibiti wa dharura wa upangaji uzazi, kuhakikisha kuwa kuna wahudumu wa afya waliohitimu na vifaa vya afya kwa bei nafuu, na kubuni utaratibu wa kukagua mpango zilizoidhinishwa. Serikali ikikosa kutekeleza inaweza kuvunja sheria za kimataifa.[121] Miungano ya Kimataifa yalizindua kikundi cha Every Woman Every Child kinachoshughulikia taratibu za kina mama za kupata dawa za kuzuia mimba. Shughuli hii inalenga kuongeza wanawake wanaotumia mbinu mpya ya kuzuia mimba kwa milioni 120 katika nchi zilizo masikini kufikia mwaka wa 2020. Vile vile, wanataka kutoa ubaguzi wa wasichana na wanawake wadogo wanaotafuta dawa za kuzuia mimba.[122]

Mtazamo wa kidini

Dini zinatofautiana sana kwa maadili ya udhibiti wa uzazi.[123] Kanisa la Kikatoliki hukubali tu upangaji uzazi wa kawaida kwa hali zingine,[124] ingawa wakatoliki wengi katika nchi zilizoendelea hukubali na wanatumia mbinu za kisasa.[125][126][127] Miongoni mwa Waprotestanti kuna mtazamo tofauti kutoka kwa kikundi cha wasiosadia upande wowote wanaokubali mbinu zote za kudhibiti uzazi.[128] Mtazamo wa Kiyahudi hutoka kwa dhehebu kali la Orthodox hadi kwa dhehebu la Mageuzi[129] Kihindi wanaweza kutumia upangaji uzazi wa kawaida na ya kisasa.[130] mtazamo wa [Ubudha|Mfuasi wa Budha]] wa kawaida ni kuwa uzuiaji wa mimba unakubalika, lakini utoaji baada ya kutungwa mimba haikubaliki.[131] Katika Dini ya Kiislamu, dawa za kupanga uzazi zinakubali ikiwa hazidhuru afya, ingwawa matumizi yake hukashifiwa na wengine.[132] Kurani haitoi maelezo yoyote kuhusiana na uadilifu wa kupanga uzazi, lakini zina maelezo yanyohimiza watoto. Mtume Muhammad huripotiwa kuwa "alioa na kuzaa".[133]

Siku ya Uliwenguni ya Kupanga uzazi

Tarehe 26 Septemba ni Siku ya Ulimwengu ya Kupanga uzazi, iliyotengwa kwa uhamasishaji na uboreshaji wa elimu kuhusu afya ya kuzaa na ngono, ikiwa na lengo la dunia ambayo mimba inahitajika.[134] Inasaidiwa na kikundi cha Serikali na Mashirika ya kimataifa yasiyo ya Kiserikali, ikijumuisha baraza la Asian Pacific Council kuhusu Uzuiaji mimba, Centro Latinamericano Salud y Mujer, European Society of Contraception and Reproductive Health, German Foundation for World Population, International Federation of Pediatric and Adolescent Gynecology, International Planned Parenthood Federation, Marie Stopes International, Population Services International, Population Council, United States Agency for International Development (USAID), na Women Deliver.[134]

Matatizo

Kuna idadi kadha ya matatizo ya kawaida kulinagana na ngono na ujauzito.[135] Usafishaji baada ya kufanya ngono sio mbinu mwafaka wa kupanga uzazi.[136] Vile vile, huhusishwa na baadhi ya matatizo ya kiafya na kwa hivyo haipendkezwi.[137] Wanawake wanaweza kuwa wajawazito mara ya kwanza anaposhiriki ngono[138] na katika hali yoyote ya ngono.[139] Kuna uwezekano, ingawa sio rahisi, kuwa mjamzito wakati wa hedhi.[140]

Utafiti

Wanawake

Uboreshaji wa upangaji uzazi kwa mbinu zinazoendelea zinahitajika, kwa sababu karibu nusu ya wanaopata mimba kwa bahati mbaya wanatumia upangaji uzazi wakati huo.[24] Baadhi ya mbinu tofauti tofauti za uzuiaji mimba zinachunguzwa, ikijumuisha pamoja kondomu bora ya wanawake, daftramu, doa lililo na projesteroni pekee, na pete ya ukeni iliyo na projesteroni refu.[141] Pete ya ukeni huwa bora kwa miezi 3 au 4 na inapatikana katika baadhi ya maeneo duniani.[141] Kuna mbinu kadha za kutekeleza uangamizaji wa vimelea kwa kuchunguza seviksi. Moja inahusisha uwekaji wa quinacrine ndani ya uterasi inayosababisha kovu na kutoweza kupata mimba. Ingawa utaratibu huo ni rahisi na haihitaji upasuaji, kuna wasiwasi kuhusu madhara ya muda mrefu.[142] Bidhaa nyingine ya, polidocanol, inayofanya kazi sawa inachunguzwa.[141] Kifaa kinachoitwa Essure, inayopanuka na kufunga inapowekwa ndani ya fallopio, ilikubaliwa Marekani mwaka wa 2002.[142]

Wanaume

Mbinu za kiume za kudhibit uzazi zinajumuisha kondomu, ukataji na utoaji wa mrija.[143] Wanaume kati ya asilimia 25 na 75 wanaoweza kuzalisha hutumia homoni za kudhibiti uzazi ikiwa wanaweza kupata.[143][110] Idadi ya mbinu za homoni na zisizo za homoni zinafanyiwa majaribio,[110] na kuna baadhi ya utafiti unaochunguza uwekezano wa chanjo ya kontraseptivu.[144] Mbinu ya upasuaji wa kugeuza inayochunguzwa ni reversible inhibition of sperm under guidance (RISUG) inayojumuisha huiingizaji wa polymer gel, styrene maleic anhydride kwa dimethyl sulfoxide, katika vas deferens. Ukidungwa sindano na sodium bicarbonate hutoa dawa na hurudisha uwezo wa kuzaa tena. Nyingine ni intravas device inayohusisha uwekaji wa urethane ndani ya vas deferens ili izuie. Mchanganyiko wa androgen na progestin huleta matumaini, kwa selective androgen receptor modulator.[110]Ultrasound na mbinu za kupasha moto makende zimefanyiwa uchunguzi wa kwanza.[145]

Wanyama wengine

Neutering au upakaji, inayojumuisha utoaji wa baadhi ya sehemu za viungo vya uzazi, ni mbinu inayofanywa kila mara kwa wanyama. Hifadhi nyingi za wanyama huhitaji taratibu hizi kama mkataba wa kuchukua.[146] Kwa wanyama wengi upasuaji hujulikana kama uondoaji wa viungo vya jinsia ya kiume.[147] Udhibiti wa uzazi huchukuliwa kama njia mbadala wa kupunguza idadi ya wanyama wa mwituni.[148]Chanjo za kontraseptivu zimepatikana kuwa na ubora kwa idadi fulani ya wanyama.[149][150]

Marejeleo

  1. "Definition of Birth control". MedicineNet. Iliwekwa mnamo 9 August 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Oxford English Dictionary. Oxford University Press. June 2012 (online).  Check date values in: |date= (help)
  3. World Health Organization (WHO). "Family planning". Health topics. World Health Organization (WHO). 
  4. Taliaferro, L. A.; Sieving, R.; Brady, S. S.; Bearinger, L. H. (2011). "We have the evidence to enhance adolescent sexual and reproductive health--do we have the will?". Adolescent medicine: state of the art reviews 22 (3): 521–543, xii. PMID 22423463. 
  5. 5.0 5.1 Chin, H. B.; Sipe, T. A.; Elder, R.; Mercer, S. L.; Chattopadhyay, S. K.; Jacob, V.; Wethington, H. R.; Kirby, D.; Elliston, D. B. (2012). "The Effectiveness of Group-Based Comprehensive Risk-Reduction and Abstinence Education Interventions to Prevent or Reduce the Risk of Adolescent Pregnancy, Human Immunodeficiency Virus, and Sexually Transmitted Infections". American Journal of Preventive Medicine 42 (3): 272–294. PMID 22341164. doi:10.1016/j.amepre.2011.11.006. 
  6. 6.00 6.01 6.02 6.03 6.04 6.05 6.06 6.07 6.08 6.09 6.10 6.11 6.12 Hurt, K. Joseph, et al.(eds.); Department of Gynecology and Obstetrics, The Johns Hopkins University School of Medicine, Baltimore, Maryland (2012-03-28). The Johns Hopkins manual of gynecology and obstetrics. (toleo la 4th). Philadelphia: Wolters Kluwer Health/Lippincott Williams & Wilkins. uk. 232. ISBN 978-1-60547-433-5. 
  7. 7.0 7.1 Family planning : a global handbook for providers : evidence-based guidance developed through worldwide collaboration. (toleo la Rev. and Updated ed.). Geneva, Switzerland: WHO and Center for Communication Programs. 2011. ISBN 978-0-9788563-7-3.  |first1= missing |last1= in Authors list (help)
  8. DiCenso A, Guyatt G, Willan A, Griffith L (June 2002). "Interventions to reduce unintended pregnancies among adolescents: systematic review of randomised controlled trials". BMJ 324 (7351): 1426. PMC 115855. PMID 12065267.  Check date values in: |date= (help)
  9. Duffy, K.; Lynch, D. A.; Santinelli, J. (2008). "Government Support for Abstinence-Only-Until-Marriage Education". Clinical Pharmacology & Therapeutics 84 (6): 746–748. PMID 18923389. doi:10.1038/clpt.2008.188. 
  10. 10.0 10.1 Black, A. Y.; Fleming, N. A.; Rome, E. S. (2012). "Pregnancy in adolescents". Adolescent medicine: state of the art reviews 23 (1): 123–138, xi. PMID 22764559. 
  11. 11.0 11.1 Rowan, S. P.; Someshwar, J.; Murray, P. (2012). "Contraception for primary care providers". Adolescent medicine: state of the art reviews 23 (1): 95–110, x–xi. PMID 22764557. 
  12. 12.0 12.1 Family planning : a global handbook for providers : evidence-based guidance developed through worldwide collaboration. (toleo la Rev. and Updated ed.). Geneva, Switzerland: WHO and Center for Communication Programs. 2011. ku. 260–300. ISBN 978-0-9788563-7-3.  |first1= missing |last1= in Authors list (help)
  13. "Costs and Benefits of Contraceptive Services: Estimates for 2012" (pdf). United Nations Population Fund. June 2012. uk. 1.  Check date values in: |date= (help)
  14. Carr, B.; Gates, M. F.; Mitchell, A.; Shah, R. (2012). "Giving women the power to plan their families". The Lancet 380 (9837): 80–82. PMID 22784540. doi:10.1016/S0140-6736(12)60905-2. 
  15. 15.0 15.1 15.2 15.3 15.4 15.5 Cleland, J; Conde-Agudelo, A; Peterson, H; Ross, J; Tsui, A (2012 Jul 14). "Contraception and health.". Lancet 380 (9837): 149–56. PMID 22784533.  Check date values in: |date= (help)
  16. 16.0 16.1 Ahmed, S.; Li, Q.; Liu, L.; Tsui, A. O. (2012). "Maternal deaths averted by contraceptive use: An analysis of 172 countries". The Lancet 380 (9837): 111–125. PMID 22784531. doi:10.1016/S0140-6736(12)60478-4. 
  17. 17.0 17.1 17.2 17.3 Canning, D.; Schultz, T. P. (2012). "The economic consequences of reproductive health and family planning". The Lancet 380 (9837): 165–171. PMID 22784535. doi:10.1016/S0140-6736(12)60827-7. 
  18. Van Braeckel, D.; Temmerman, M.; Roelens, K.; Degomme, O. (2012). "Slowing population growth for wellbeing and development". The Lancet 380 (9837): 84–85. PMID 22784542. doi:10.1016/S0140-6736(12)60902-7. 
  19. Division of Reproductive Health, National Center for Chronic Disease Prevention and Health, Promotion (2013 Jun 21). "U.s. Selected practice recommendations for contraceptive use, 2013: adapted from the world health organization selected practice recommendations for contraceptive use, 2nd edition.". MMWR. Recommendations and reports : Morbidity and mortality weekly report. Recommendations and reports / Centers for Disease Control 62 (RR-05): 1–60. PMID 23784109.  Check date values in: |date= (help)
  20. 20.0 20.1 Van der Wijden, C; Kleijnen, J; Van den Berk, T (2003). "Lactational amenorrhea for family planning.". Cochrane database of systematic reviews (Online) (4): CD001329. PMID 14583931. 
  21. 21.0 21.1 Blenning, CE; Paladine, H (2005 Dec 15). "An approach to the postpartum office visit.". American family physician 72 (12): 2491–6. PMID 16370405.  Check date values in: |date= (help)
  22. Brown, Gordon Edlin, Eric Golanty, Kelli McCormack (2000). Essentials for health and wellness (toleo la 2nd ed.). Sudbury, Mass.: Jones and Bartlett. uk. 161. ISBN 9780763709099. 
  23. Edmonds, edited by D. Keith (2012). Dewhurst's textbook of obstetrics & gynaecology (toleo la 8th ed.). Chichester, West Sussex: Wiley-Blackwell. uk. 508. ISBN 9780470654576. 
  24. 24.00 24.01 24.02 24.03 24.04 24.05 24.06 24.07 24.08 24.09 24.10 24.11 24.12 Hoffman, Barbara (2012). Williams gynecology (toleo la 2nd ed.). New York: McGraw-Hill Medical. uk. Chapter 5. ISBN 978-0071716727. 
  25. Mansour, D; Gemzell-Danielsson, K; Inki, P; Jensen, JT (2011 Nov). "Fertility after discontinuation of contraception: a comprehensive review of the literature". Contraception 84 (5): 465–77. PMID 22018120. doi:10.1016/j.contraception.2011.04.002.  Check date values in: |date= (help)
  26. 26.0 26.1 26.2 Organization, World Health (2009). Medical eligibility criteria for contraceptive use (toleo la 4th ed.). Geneva: Reproductive Health and Research, World Health Organization. uk. 1-10. ISBN 9789241563888. 
  27. Department of Reproductive Health and Research, Family and Community (2004). Selected practice recommendations for contraceptive use. (toleo la 2 ed.). Geneva: World Health Organization. uk. Chapter 31. ISBN 9241562846. 
  28. Tepper, NK; Curtis, KM; Steenland, MW; Marchbanks, PA (2013 May). "Physical examination prior to initiating hormonal contraception: a systematic review.". Contraception 87 (5): 650–4. PMID 23121820.  Check date values in: |date= (help)
  29. 29.0 29.1 29.2 Family planning : a global handbook for providers : evidence-based guidance developed through worldwide collaboration. (toleo la Rev. and Updated ed.). Geneva, Switzerland: WHO and Center for Communication Programs. 2011. ku. 1–10. ISBN 978-0-9788563-7-3.  |first1= missing |last1= in Authors list (help)
  30. Nelson, Anita L.; Cwiak, Carrie (2011). "Combined oral contraceptives (COCs)". Katika Hatcher, Robert A.; Trussell, James; Nelson, Anita L.; Cates, Willard Jr.; Kowal, Deborah; Policar, Michael S. (eds.). Contraceptive technology (toleo la 20th revised). New York: Ardent Media. ku. 249–341. ISBN 978-1-59708-004-0. ISSN 0091-9721. OCLC 781956734. 
  31. Ammer, Christine (2009). "oral contraceptive". The encyclopedia of women's health (toleo la 6th). New York: Facts On File. ku. 312–315. ISBN 978-0-8160-7407-5. 
  32. 32.0 32.1 32.2 Brito, MB; Nobre, F, Vieira, CS (2011 Apr). "Hormonal contraception and cardiovascular system". Arquivos brasileiros de cardiologia 96 (4): e81–9. PMID 21359483. doi:10.1590/S0066-782X2011005000022.  Check date values in: |date= (help)
  33. Kurver, MJ; van der Wijden, CL; Burgers, J (2012). "[Summary of the Dutch College of General Practitioners' practice guideline 'Contraception'].". Nederlands tijdschrift voor geneeskunde (kwa Ducth) 156 (41): A5083. PMID 23062257. 
  34. Burrows, LJ; Basha, M; Goldstein, AT (2012 Sep). "The effects of hormonal contraceptives on female sexuality: a review.". The journal of sexual medicine 9 (9): 2213–23. PMID 22788250.  Check date values in: |date= (help)
  35. 35.0 35.1 Shulman, LP (2011 Oct). "The state of hormonal contraception today: benefits and risks of hormonal contraceptives: combined estrogen and progestin contraceptives.". American journal of obstetrics and gynecology 205 (4 Suppl): S9–13. PMID 21961825.  Check date values in: |date= (help)
  36. Havrilesky, LJ; Moorman, PG; Lowery, WJ; Gierisch, JM; Coeytaux, RR; Urrutia, RP; Dinan, M; McBroom, AJ; Hasselblad, V; Sanders, GD; Myers, ER (2013 Jul). "Oral Contraceptive Pills as Primary Prevention for Ovarian Cancer: A Systematic Review and Meta-analysis.". Obstetrics and gynecology 122 (1): 139–147. PMID 23743450.  Check date values in: |date= (help)
  37. Mantha, S.; Karp, R.; Raghavan, V.; Terrin, N.; Bauer, K. A.; Zwicker, J. I. (7 August 2012). "Assessing the risk of venous thromboembolic events in women taking progestin-only contraception: a meta-analysis". BMJ 345 (aug07 2): e4944–e4944. PMC 3413580. PMID 22872710. doi:10.1136/bmj.e4944.  Check date values in: |date= (help)
  38. Burke, AE (2011 Oct). "The state of hormonal contraception today: benefits and risks of hormonal contraceptives: progestin-only contraceptives.". American journal of obstetrics and gynecology 205 (4 Suppl): S14–7. PMID 21961819.  Check date values in: |date= (help)
  39. Rott, H (2012 Aug). "Thrombotic risks of oral contraceptives.". Current opinion in obstetrics & gynecology 24 (4): 235–40. PMID 22729096.  Check date values in: |date= (help)
  40. FDA (2005). "Depo-Provera U.S. Prescribing Information". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-06-15. Iliwekwa mnamo 2007-06-12. 
  41. 41.0 41.1 Neinstein, Lawrence (2008). Adolescent health care : a practical guide (toleo la 5th ed.). Philadelphia: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 624. ISBN 9780781792561. 
  42. Chaudhuri (2007). Practice Of Fertility Control: A Comprehensive Manual (toleo la 7th). Elsevier India. uk. 88. ISBN 9788131211502. 
  43. 43.0 43.1 Hamilton, Richard (2012). Pharmacology for nursing care (toleo la 8th ed.). St. Louis, Mo.: Elsevier/Saunders. uk. 799. ISBN 9781437735826. 
  44. Facts for life (toleo la 4th ed.). New York: United Nations Children's Fund. 2010. uk. 141. ISBN 9789280644661. 
  45. Pray, Walter Steven (2005). Nonprescription product therapeutics (toleo la 2nd ed.). Philadelphia: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 414. ISBN 9780781734981. 
  46. 46.0 46.1 Eberhard, Nieschlag, (2010). Andrology Male Reproductive Health and Dysfunction (toleo la 3rd ed.). [S.l.]: Springer-Verlag Berlin Heidelberg. uk. 563. ISBN 9783540783558. 
  47. Barbieri, Jerome F. (2009). Yen and Jaffe's reproductive endocrinology : physiology, pathophysiology, and clinical management (toleo la 6th ed.). Philadelphia, PA: Saunders/Elsevier. uk. 873. ISBN 9781416049074. 
  48. Kuyoh, MA; Toroitich-Ruto, C; Grimes, DA; Schulz, KF; Gallo, MF (2003 Jan). "Sponge versus diaphragm for contraception: a Cochrane review.". Contraception 67 (1): 15–8. PMID 12521652.  Check date values in: |date= (help)
  49. Organization, World Health (2009). Medical eligibility criteria for contraceptive use (toleo la 4th ed.). Geneva: Reproductive Health and Research, World Health Organization. uk. 88. ISBN 9789241563888. 
  50. Chaudhuri (2007). Practice Of Fertility Control: A Comprehensive Manual (7Th Edition). Elsevier India. uk. 95. ISBN 9788131211502. 
  51. 51.0 51.1 Committee on Adolescent Health Care Long-Acting Reversible Contraception Working Group, The American College of Obstetricians and, Gynecologists (2012 Oct). "Committee opinion no. 539: adolescents and long-acting reversible contraception: implants and intrauterine devices.". Obstetrics and gynecology 120 (4): 983–8. PMID 22996129.  Check date values in: |date= (help)
  52. Black, K; Lotke, P; Buhling, KJ; Zite, NB; Intrauterine contraception for Nulliparous women: Translating Research into Action (INTRA), group (2012 Oct). "A review of barriers and myths preventing the more widespread use of intrauterine contraception in nulliparous women.". The European journal of contraception & reproductive health care : the official journal of the European Society of Contraception 17 (5): 340–50. PMID 22834648.  Check date values in: |date= (help)
  53. 53.0 53.1 53.2 Gabbe, Steven (2012). Obstetrics: Normal and Problem Pregnancies. Elsevier Health Sciences. uk. 527. ISBN 9781455733958. 
  54. Steenland, MW; Tepper, NK; Curtis, KM; Kapp, N (2011 Nov). "Intrauterine contraceptive insertion postabortion: a systematic review.". Contraception 84 (5): 447–64. PMID 22018119.  Check date values in: |date= (help)
  55. Hurd, [edited by] Tommaso Falcone, William W. (2007). Clinical reproductive medicine and surgery. Philadelphia: Mosby. uk. 409. ISBN 9780323033091. 
  56. Grimes, D.A., MD (2007). ""Intrauterine Devices (IUDs)" In:Hatcher, RA; Nelson, TJ; Guest, F; Kowal, D". Contraceptive Technology 19th ed. (New York: Ardent Media). 
  57. 57.0 57.1 57.2 Marnach, ML; Long, ME; Casey, PM (2013 Mar). "Current issues in contraception.". Mayo Clinic proceedings. Mayo Clinic 88 (3): 295–9. PMID 23489454.  Check date values in: |date= (help)
  58. 58.0 58.1 Darney, Leon Speroff, Philip D. (2010). A clinical guide for contraception (toleo la 5th ed.). Philadelphia, Pa.: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 242-243. ISBN 9781608316106. 
  59. 59.0 59.1 59.2 59.3 59.4 59.5 59.6 Darroch, JE (2013 Mar). "Trends in contraceptive use.". Contraception 87 (3): 259–63. PMID 23040137.  Check date values in: |date= (help)
  60. "Popularity Disparity: Attitudes About the IUD in Europe and the United States". Published byPolicy Review Published Fall 2007. Iliwekwa mnamo 2010-04-27. 
  61. Adams CE, Wald M (August 2009). "Risks and complications of vasectomy". Urol. Clin. North Am. 36 (3): 331–6. PMID 19643235. doi:10.1016/j.ucl.2009.05.009.  Check date values in: |date= (help)
  62. Hillard, Paula Adams (2008). The 5-minute obstetrics and gynecology consult. Hagerstwon, MD: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 265. ISBN 0-7817-6942-6. 
  63. Hillard, Paula Adams (2008). The 5-minute obstetrics and gynecology consult. Hagerstwon, MD: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 549. ISBN 0-7817-6942-6. 
  64. Hatcher, Robert (2008). Contraceptive technology (toleo la 19th ed.). New York, N.Y.: Ardent Media. uk. 390. ISBN 9781597080019. 
  65. Moore, David S. (2010). The basic practice of statistics (toleo la 5th ed.). New York: Freeman. uk. 25. ISBN 9781429224260. 
  66. 66.0 66.1 66.2 Deffieux, X; Morin Surroca, M; Faivre, E; Pages, F; Fernandez, H; Gervaise, A (2011 May). "Tubal anastomosis after tubal sterilization: a review.". Archives of gynecology and obstetrics 283 (5): 1149–58. PMID 21331539.  Check date values in: |date= (help)
  67. 67.0 67.1 Shridharani, A; Sandlow, JI (2010 Nov). "Vasectomy reversal versus IVF with sperm retrieval: which is better?". Current opinion in urology 20 (6): 503–9. PMID 20852426.  Check date values in: |date= (help)
  68. Nagler, HM; Jung, H (2009 Aug). "Factors predicting successful microsurgical vasectomy reversal.". The Urologic clinics of North America 36 (3): 383–90. PMID 19643240.  Check date values in: |date= (help)
  69. 69.0 69.1 69.2 69.3 Grimes, DA; Gallo, MF; Grigorieva, V; Nanda, K; Schulz, KF (2004 Oct 18). "Fertility awareness-based methods for contraception.". Cochrane database of systematic reviews (Online) (4): CD004860. PMID 15495128.  Check date values in: |date= (help)
  70. Lawrence, Ruth (2010). Breastfeeding : a guide for the medical professional. (toleo la 7th ed.). Philadelphia, Pa.: Saunders. uk. 673. ISBN 9781437707885. 
  71. 71.0 71.1 Freundl, G; Sivin, I; Batár, I (2010 Apr). "State-of-the-art of non-hormonal methods of contraception: IV. Natural family planning.". The European journal of contraception & reproductive health care : the official journal of the European Society of Contraception 15 (2): 113–23. PMID 20141492.  Check date values in: |date= (help)
  72. Pallone, SR; Bergus, GR (2009 Mar-Apr). "Fertility awareness-based methods: another option for family planning.". Journal of the American Board of Family Medicine : JABFM 22 (2): 147–57. PMID 19264938.  Check date values in: |date= (help)
  73. 73.0 73.1 Organization, World Health (2009). Medical eligibility criteria for contraceptive use (toleo la 4th ed.). Geneva: Reproductive Health and Research, World Health Organization. uk. 91-100. ISBN 9789241563888. 
  74. 74.0 74.1 Jones, RK; Fennell, J; Higgins, JA; Blanchard, K (2009 Jun). "Better than nothing or savvy risk-reduction practice? The importance of withdrawal.". Contraception 79 (6): 407–10. PMID 19442773.  Check date values in: |date= (help)
  75. Killick, SR; Leary, C; Trussell, J; Guthrie, KA (2011 Mar). "Sperm content of pre-ejaculatory fluid.". Human fertility (Cambridge, England) 14 (1): 48–52. PMID 21155689.  Check date values in: |date= (help)
  76. "Abstinence". Planned Parenthood. 2009. Iliwekwa mnamo 2009-09-09. 
  77. Murthy, Amitasrigowri S; Harwood, Bryna (2007). Contraception Update (toleo la 2nd). New York: Springer. ku. Abstract. ISBN 978-0-387-32327-5. 
  78. Fortenberry, J. Dennis (2005). "The limits of abstinence-only in preventing sexually transmitted infections". Journal of Adolescent Health 36 (4): 269–70. PMID 15780781. doi:10.1016/j.jadohealth.2005.02.001. , which cites:
    Brückner, Hannah; Bearman, Peter (2005). "After the promise: The STD consequences of adolescent virginity pledges". Journal of Adolescent Health 36 (4): 271–8. PMID 15780782. doi:10.1016/j.jadohealth.2005.01.005. 
  79. Kim Best (2005). "Nonconsensual Sex Undermines Sexual Health". Network 23 (4). 
  80. 80.0 80.1 Ott, MA; Santelli, JS (2007 Oct). "Abstinence and abstinence-only education". Current opinion in obstetrics & gynecology 19 (5): 446–52. PMID 17885460. doi:10.1097/GCO.0b013e3282efdc0b.  Check date values in: |date= (help)
  81. Duffy, K; Lynch, DA; Santelli, J (2008 Dec). "Government support for abstinence-only-until-marriage education.". Clinical pharmacology and therapeutics 84 (6): 746–8. PMID 18923389.  Check date values in: |date= (help)
  82. Kowal D (2007). "Abstinence and the Range of Sexual Expression". Katika Hatcher, Robert A., et al. Contraceptive Technology (toleo la 19th rev.). New York: Ardent Media. ku. 81–86. ISBN 0-9664902-0-7. 
  83. Feldmann, J.; Middleman, A. B. (2002). "Adolescent sexuality and sexual behavior". Current opinion in obstetrics & gynecology 14 (5): 489–493. PMID 12401976. 
  84. Thomas, R. Murray (2009). Sex and the American teenager seeing through the myths and confronting the issues. Lanham, Md.: Rowman & Littlefield Education. uk. 81. ISBN 9781607090182. 
  85. Edlin, Gordon (2012). Health & Wellness. Jones & Bartlett Learning. uk. 213. ISBN 9781449636470. 
  86. Blackburn, Susan Tucker (2007). Maternal, fetal, & neonatal physiology : a clinical perspective (toleo la 3rd ed.). St. Louis, Mo.: Saunders Elsevier. uk. 157. ISBN 9781416029441. 
  87. "WHO 10 facts on breastfeeding". World Health Organization. April 2005.  Check date values in: |date= (help)
  88. 88.0 88.1 88.2 Fritz, Marc (2012). Clinical Gynecologic Endocrinology and Infertility. uk. 1007-1008. ISBN 9781451148473. 
  89. Swisher, Judith Lauwers, Anna. Counseling the nursing mother a lactation consultant's guide (toleo la 5th ed.). Sudbury, MA: Jones & Bartlett Learning. uk. 465-466. ISBN 9781449619480. 
  90. 90.0 90.1 90.2 Gizzo, S; Fanelli, T; Di Gangi, S; Saccardi, C; Patrelli, TS; Zambon, A; Omar, A; D'Antona, D; Nardelli, GB (2012 Oct). "Nowadays which emergency contraception? Comparison between past and present: latest news in terms of clinical efficacy, side effects and contraindications.". Gynecological endocrinology : the official journal of the International Society of Gynecological Endocrinology 28 (10): 758–63. PMID 22390259.  Check date values in: |date= (help)
  91. 91.0 91.1 "Fertility Control:Contraception, Sterilization, and Abortion". The Johns Hopkins Manual of Gynecology and Obstetrics (toleo la 4th). 2012. uk. 391. ISBN 9781451148015. 
  92. 92.0 92.1 92.2 92.3 Cheng, L; Che, Y; Gülmezoglu, AM (2012 Aug 15). "Interventions for emergency contraception.". Cochrane database of systematic reviews (Online) 8: CD001324. PMID 22895920.  Check date values in: |date= (help)
  93. Richardson, AR; Maltz, FN (2012 Jan). "Ulipristal acetate: review of the efficacy and safety of a newly approved agent for emergency contraception.". Clinical therapeutics 34 (1): 24–36. PMID 22154199.  Check date values in: |date= (help)
  94. "Update on Emergency Contraception". Association of Reproductive Health Professionals. March 2011. Iliwekwa mnamo 20 May 2013.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  95. Cleland K, Zhu H, Goldstruck N, Cheng L, Trussel T (2012). "The efficacy of intrauterine devices for emergency contraception: a systematic review of 35 years of experience". Human Reproduction 27 (7): 1994–2000. PMID 22570193. doi:10.1093/humrep/des140. 
  96. Kripke C (September 2007). "Advance provision for emergency oral contraception". Am Fam Physician 76 (5): 654. PMID 17894132.  Check date values in: |date= (help)
  97. Shrader SP, Hall LN, Ragucci KR, Rafie S (September 2011). "Updates in hormonal emergency contraception". Pharmacotherapy 31 (9): 887–95. PMID 21923590. doi:10.1592/phco.31.9.887.  Check date values in: |date= (help)
  98. "Dual protection against unwanted pregnancy and HIV / STDs". Sex Health Exch (3): 8. 1998. PMID 12294688. 
  99. 99.0 99.1 Cates, W., Steiner, M. J. (2002). "Dual Protection Against Unintended Pregnancy and Sexually Transmitted Infections: What Is the Best Contraceptive Approach?". Sexually Transmitted Diseases 29 (3): 168–174. PMID 11875378. doi:10.1097/00007435-200203000-00007. 
  100. "Statement on Dual Protection against Unwanted Pregnancy and Sexually Transmitted Infections, including HIV" (PDF). International Planned Parenthood Federation. May 2000.  Check date values in: |date= (help)
  101. Gupta, Ramesh C. (2011-02-25). Reproductive and Developmental Toxicology. Academic Press. uk. 105. ISBN 978-0-12-382032-7. 
  102. Comparison: Maternal Mortality Rate in The CIA World Factbook
  103. 103.0 103.1 Sholapurkar, SL (2010 Feb). "Is there an ideal interpregnancy interval after a live birth, miscarriage or other adverse pregnancy outcomes?". Journal of obstetrics and gynaecology : the journal of the Institute of Obstetrics and Gynaecology 30 (2): 107–10. PMID 20143964.  Check date values in: |date= (help)
  104. Lavin, C; Cox, JE (2012 Aug). "Teen pregnancy prevention: current perspectives.". Current opinion in pediatrics 24 (4): 462–9. PMID 22790099.  Check date values in: |date= (help)
  105. 105.0 105.1 105.2 Tsui AO, McDonald-Mosley R, Burke AE (April 2010). "Family planning and the burden of unintended pregnancies". Epidemiol Rev 32 (1): 152–74. PMC 3115338. PMID 20570955. doi:10.1093/epirev/mxq012.  Check date values in: |date= (help)
  106. Carr, B; Gates, MF; Mitchell, A; Shah, R (2012 Jul 14). "Giving women the power to plan their families.". Lancet 380 (9837): 80–2. PMID 22784540.  Check date values in: |date= (help)
  107. 107.0 107.1 Rosenthal, Elisabeth. "American Way of Birth, Costliest in the World", June 30th,2013. 
  108. "Expenditures on Children by Families, 2011". United States Department of Agriculture, Center for Nutrition Policy and Promotion. 
  109. Darney, Leon Speroff, Philip D. (2010). A clinical guide for contraception (toleo la 5th). Philadelphia, Pa.: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 315. ISBN 1-60831-610-6. 
  110. 110.0 110.1 110.2 110.3 Naz, RK; Rowan, S (2009 Jun). "Update on male contraception.". Current opinion in obstetrics & gynecology 21 (3): 265–9. PMID 19469045.  Check date values in: |date= (help)
  111. Cleland, JG; Ndugwa, RP; Zulu, EM (2011 Feb 1). "Family planning in sub-Saharan Africa: progress or stagnation?". Bulletin of the World Health Organization 89 (2): 137–43. PMID 21346925.  Check date values in: |date= (help)
  112. 112.0 112.1 Darroch, JE; Singh, S (2013 May 18). "Trends in contraceptive need and use in developing countries in 2003, 2008, and 2012: an analysis of national surveys.". Lancet 381 (9879): 1756–1762. PMID 23683642.  Check date values in: |date= (help)
  113. 113.0 113.1 Rasch, V (2011 Jul). "Unsafe abortion and postabortion care -an overview.". Acta obstetricia et gynecologica Scandinavica 90 (7): 692–700. PMID 21542813.  Check date values in: |date= (help)
  114. 114.0 114.1 114.2 114.3 114.4 114.5 Cuomo, Amy (2010). "Birth control". Katika O'Reilly, Andrea. Encyclopedia of motherhood. Thousand Oaks, Calif.: Sage Publications. ku. 121–126. ISBN 9781412968461. 
  115. Lipsey, Richard G.; Carlaw, Kenneth; Bekar, Clifford (2005). "Historical Record on the Control of Family Size". Economic Transformations: General Purpose Technologies and Long-Term Economic Growth. Oxford University Press. ku. 335–40. ISBN 978-0-19-928564-8. 
  116. unspecified (2001). "Herbal contraceptives and abortifacients". Katika Bullough, Vern L. Encyclopedia of birth control. Santa Barbara, Calif.: ABC-CLIO. ku. 125–128. ISBN 9781576071816. 
  117. McTavish, Lianne (2007). "Contraception and birth control". Katika Robin, Diana. Encyclopedia of women in the Renaissance : Italy, France, and England. Santa Barbara, Calif.: ABC-CLIO. ku. 91–92. ISBN 9781851097722. 
  118. Fritz, Marc A.; Speroff, Leon (2011). "Intrauterine contraception". Clinical gynecologic endocrinology and infertility (toleo la 8th). Philadelphia: Wolters Kluwer Health/Lippincott Williams & Wilkins. ku. 1095–1098. ISBN 978-0-7817-7968-5. 
  119. Poston, Dudley (2010). Population and Society: An Introduction to Demography. Cambridge University Press. uk. 98. ISBN 9781139489386. 
  120. Kulier, Regina; Kapp, Nathalie; Gülmezoglu, A. Metin; Hofmeyr, G. Justus; Cheng, Linan; Campana, Aldo (November 9, 2011). "Medical methods for first trimester abortion". Cochrane Database of Systematic Reviews (11): CD002855. PMID 22071804. doi:10.1002/14651858.CD002855.pub4.  Check date values in: |date= (help)
  121. Cottingham J., Germain A., Hunt P. (2012). "Use of human rights to meet the unmet need for family planning". The Lancet 380 (9837): 172–180. PMID 22784536. doi:10.1016/S0140-6736(12)60732-6. 
  122. "Adding It Up: Costs and Benefits of Contraceptive Services Estimates for 2012". Guttmacher Institute and United Nations Population Fund (UNFPA), 201. June 2012.  Check date values in: |date= (help); |coauthors= requires |author= (help)
  123. Srikanthan, A; Reid, RL (2008 Feb). "Religious and cultural influences on contraception". Journal of obstetrics and gynaecology Canada – Journal d'obstetrique et gynecologie du Canada (JOGC) 30 (2): 129–37. PMID 18254994.  Check date values in: |date= (help)
  124. Pope Paul VI (1968-07-25). "Humanae Vitae: Encyclical of Pope Paul VI on the Regulation of Birth". Vatican. Iliwekwa mnamo 2006-10-01. 
  125. Rosemary Radford Ruether (2006). "Women in North American Catholicism". Katika Rosemary Skinner Keller. Encyclopedia of women and religion in North America. Bloomington, Ind. [u.a.]: Indiana Univ. Press. uk. [1]. ISBN 978-0-253-34686-5. 
  126. Bob Digby et.al. (2001). Bob Digby, mhariri. Heinemann 16-19 Geography: Global Challenges Student Book 2nd Edition. Heinemann. uk. [2]. ISBN 978-0-435-35249-3. 
  127. Rengel, Marian (2000). Encyclopedia of birth control. Phoenix, Ariz: Oryx Press. uk. 202. ISBN 978-1-57356-255-3. 
  128. Bennett, Jana Marguerite (2008). Water is thicker than blood : an Augustinian theology of marriage and singleness. Oxford: Oxford University Press. uk. 178. ISBN 978-0-19-531543-1. 
  129. Feldman, David M. (1998). Birth Control in Jewish Law. Lanham, MD: Jason Aronson. ISBN 0-7657-6058-4. 
  130. "Hindu Beliefs and Practices Affecting Health Care". University of Virginia Health System. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-05-15. Iliwekwa mnamo 2006-10-06. 
  131. "More Questions & Answers on Buddhism: Birth Control and Abortion". Alan Khoo. Iliwekwa mnamo 2008-06-14. 
  132. Khalid Farooq Akbar. "Family Planning and Islam: A Review". Hamdard Islamicus XVII (3). 
  133. Yusuf Al-Qaradawi, Muhammad Saleh Al-Munajjid. "Permissible?,"IslamOnline.
  134. 134.0 134.1 "World Contraception Day". 
  135. Hutcherson, Hilda (2002). What your mother never told you about s.e.x (toleo la 1st Perigee ed.). New York: Perigee Book. uk. 201. ISBN 9780399528538. 
  136. Rengel, Marian (2000). Encyclopedia of birth control. Phoenix, Ariz: Oryx Press. uk. 65. ISBN 9781573562553. 
  137. Cottrell, BH (2010 Mar-Apr). "An updated review of of evidence to discourage douching.". MCN. The American journal of maternal child nursing 35 (2): 102–7; quiz 108–9. PMID 20215951.  Check date values in: |date= (help)
  138. Alexander, William (2013). New Dimensions In Women's Health - Book Alone (toleo la 6th). Jones & Bartlett Publishers. uk. 105. ISBN 9781449683757. 
  139. Sharkey, Harriet (2013). Need to Know Fertility and Conception and Pregnancy. HarperCollins. uk. 17. ISBN 9780007516865. 
  140. Strange, Mary (2011). Encyclopedia of women in today's world. Thousand Oaks, Calif.: Sage Reference. uk. 928. ISBN 9781412976855. 
  141. 141.0 141.1 141.2 Jensen, JT (2011 Oct). "The future of contraception: innovations in contraceptive agents: tomorrow's hormonal contraceptive agents and their clinical implications.". American journal of obstetrics and gynecology 205 (4 Suppl): S21–5. PMID 21961821.  Check date values in: |date= (help)
  142. 142.0 142.1 Castaño, PM; Adekunle, L (2010 Mar). "Transcervical sterilization.". Seminars in reproductive medicine 28 (2): 103–9. PMID 20352559.  Check date values in: |date= (help)
  143. 143.0 143.1 Glasier, A (2010 Nov). "Acceptability of contraception for men: a review.". Contraception 82 (5): 453–6. PMID 20933119.  Check date values in: |date= (help)
  144. Naz, RK (2011 Jul). "Antisperm contraceptive vaccines: where we are and where we are going?". American journal of reproductive immunology (New York, N.Y. : 1989) 66 (1): 63–70. PMID 21501281.  Check date values in: |date= (help)
  145. Ojeda, edited by Willaim J. Kovacs, Sergio R. (2011). Textbook of endocrine physiology (toleo la 6th ed.). Oxford: Oxford University Press. uk. 262. ISBN 9780199744121. 
  146. Millar, Lila (2011). Infectious Disease Management in Animal Shelters. John Wiley & Sons. ISBN 9781119949459. 
  147. Ackerman, [edited by] Lowell (2007). Blackwell's five-minute veterinary practice management consult (toleo la 1st ed.). Ames, Iowa: Blackwell Pub. uk. 80. ISBN 9780781759847. 
  148. Boyle, Rebecca (March 3, 2009). "Birth control for animals: a scientific approach to limiting the wildlife population explosion". Popular Science. New York: [3].  Check date values in: |date= (help)
  149. Kirkpatrick, JF; Lyda, RO; Frank, KM (2011 Jul). "Contraceptive vaccines for wildlife: a review.". American journal of reproductive immunology (New York, N.Y. : 1989) 66 (1): 40–50. PMID 21501279.  Check date values in: |date= (help)
  150. Levy, JK (2011 Jul). "Contraceptive vaccines for the humane control of community cat populations.". American journal of reproductive immunology (New York, N.Y. : 1989) 66 (1): 63–70. PMID 21501281.  Check date values in: |date= (help)

Vya kusoma zaidi

Viunganisho vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu: