Uzani atomia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uzani atomia ni neno la kueleza masi ya atomi ya elementi ya kikemia. Ni pamoja na masi ya protoni, nyutroni na elektroni ndani yake.

Kiwago rejea ni masi ya atomi ya Kaboni 12C.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Uzani atomia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Uzani atomia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi