Uwanja wa michezo wa Ismailia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uwanja wa michezo wa Ismailia

Uwanja wa michezo wa Ismailia(Kiarabu ملعب الاسماعيلية) ni uwanja wa michezo uliopo Ismailia nchini Misri, na ina jumla ya watu 18,525 baada ya ukarabati wa mwaka 2009,[1] uwanja uliboreshwa hadi viti 30,000 baada ya marekebisho mnamo mwaka 2019 kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika la mwaka 2019, Unatumiwa na timu ya Ismaily SC, na ulikuwa moja ya viwanja sita vilivyotumika katika Kombe la Afrika la mwaka 2006 Nations na mwaka 2019 Kombe la Mataifa ya Afrika, yaliyofanyika Misri.

Kombe la Mataifa ya Afrika 2019[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huo ni moja wapo ya kumbi za Kombe la Mataifa ya Afrika la mwaka 2019. Michezo ifuatayo ilichezwa kwenye uwanja wakati wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019:

tarehe muda (CEST) Timu #1 matokeo Timu #2 Mzunguko Mahudhurio
25 Juni 2019 19:00 Kigezo:Bendera Kameruni 2–0 Kigezo:Bendera Guinea-Bissau Kundi F 5,983
25 Juni 2019 22:00 Kigezo:Bendera Ghana 2–2 Kigezo:Bendera Benin Kundi F 8,094
29 Juni 2019 19:00 Kigezo:Bendera Kameruni 0–0 Kigezo:Bendera Ghana Kundi F 16,724
29 Juni 2019 22:00 Kigezo:Bendera benin 0–0 Kigezo:Bendera Guinea-Bissau Kundi F 9,212
2 Julai 2019 18:00 Kigezo:Bendera benin 0–0 Kigezo:Bendera Kameruni Kundi F 14,120
2 Julai 2019 21:00 Kigezo:Bendera Angola 0–1 Mali Mali Group E 8,135
8 Julai 2019 21:00 Ghana Ghana 2–2 (4–5 kalamu.) Kigezo:Bendera Tunisia Raundi ya 16 8,890

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ismaïlia Stadium". soccerway. Iliwekwa mnamo 18 August 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Ismailia kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.