Tetrahedroni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Tetrahedroni

Tetrahedroni au piramidi pandetatu ni gimba la hisabati. Uso wake ni pembetatu pandesawa nne. Ina kona nne. Pande zote hukutana kwa pembe ya nyuzi 60.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine