Saul Henry Amon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Saul Henry Amon (amezaliwa 10 Januari 1960) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Rungwe kwa mwaka 20152020. [1]

Pia ni mmiliki wa maduka na hoteli.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017