Salem Amri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Salem Amri (alizaliwa Novemba 28, 1948 jijini Ain El Hammam, Tizi Ouzou Province) ni mchezaji wa soka mstaafu kutoka Algeria ambaye alicheza kama mshambuliaji.[1][2]

Maisha[hariri | hariri chanzo]

  • 1966-1971 WA Rouiba Algeria
  • 1972-1982 JS Kabylie Algeria

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

  • Ameshinda African Cup of Champions Clubs mara moja na JS Kabylie mwaka 1981
  • Ameshinda Ligi ya Algeria mara nne na JS Kabylie mwaka 1973, 1974, 1977, na 1980
  • Ameshinda Algerian Cup mara moja na JS Kabylie mwaka 1977

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Salem Amri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.