Sabah Khodir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sabah Khodir (alizaliwa 1991) ni mshairi na mwanaharakati wa Misri huko Amerika.

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Khodir ni muhitimu katika chuo kikuu cha Phoenix. Mnamo mwaka 2015 yeye na Mohammed Kassem walianzisha na kuiendeleza jumuia ya sanaa kwa wasanii wa mashariki ya kati.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Rayana Khalaf (2017-10-10). "Meet the Egyptian poet liberating Arab artists one post at a time". StepFeed (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-03-07.