Parapela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Parapela (rafadha) ya eropleni

Parapela (kutoka Kilat. propellere = kusogeza mbele) ni jina la rafadha ikitumiwa kwenye eropleni.

Parapela inatumia fizikia kama kila rafadha inasababisha tofauti ya kanieneo inayovuta ndege mbele.

Helikopta huwa na parapela mbili; parapela kubwa inavuta helikopta juu na parapela ndogo ya nyuma husaidia kulanga mwelekeo wake inapoenda.

Parapela za ndege hutengenezwa kwa kutumia ubao, plastiki na kwa mashine kubwa metali.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine