Parapela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Parapela (rafadha) ya eropleni.

Parapela[1] (kutoka Kilatini propellere = kusogeza mbele) ni jina la rafadha ikitumiwa kwenye ndege.

Parapela inatumia fizikia kama kila rafadha inasababisha tofauti ya kanieneo inayovuta ndege mbele.

Helikopta huwa na parapela mbili; parapela kubwa inavuta helikopta juu na parapela ndogo ya nyuma husaidia kupanga mwelekeo wake inapokwenda.

Parapela za ndege hutengenezwa kwa kutumia ubao, plastiki na kwa mashine kubwa metali.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Parapela ni pendekezo la KAST; Kamusi Kuu inataja pia propela kama kisawe cha rafadha
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.