Ngorongoro
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tazama pia: Wilaya ya Ngorongoro
Ngorongoro ("Ngorongoro Conservation Area") ni eneo la kasoko kubwa nchini Tanzania umbali wa takribani kilomita 180 kutoka Arusha na pia hifadhi ya taifa inayojulikana kote duniani. Eneo hili ni sehemu ya Serengeti.
Kuna jumla la wanyamapori wakubwa takriban 25,000, wakiwa pamoja na vifaru, viboko, nyumbu, pundamilia, nyati, simba, fisi na chui .
Ngorongoro imepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ngorongoro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |