Nafeesa Shayeq

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nafeesa Shayeq ni mwanaharakati wa Afghanistan. Alikuwa ni miongoni mwa kizazi cha wanawake waanzilishi waliopata nyadhifa za umma katika jamii ya Afghanistan baada ya mageuzi ya Mohammed Daoud Khan.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Download Limit Exceeded". citeseerx.ist.psu.edu. Iliwekwa mnamo 2022-03-21.