Mtumiaji:Wikirondy/Watoto na Utoaji mimba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Watoto na Utoaji mimba Mamlaka nyingi zina sheria zinazotumika kwenye Watoto na utoaji mimba. Sheria hizi zinazowahusisha wazazi zinanihtaji idhini ya mzazi mmoja au Zaidi ya mmoja au kupewa taarifa kabla ya mtoto wake wa kike (ambaye hajafikia utu uzima)kutoa mimba kisheria.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]