Mtumiaji:Jamessmiller1985/Shelby Fero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fero mwaka wa 2012

Shelby Ann Fero (alizaliwa Oktoba 27, 1993) ni mwandishi wa Kimarekani na mchekeshaji.

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Fero alizaliwa kwenye Hospitali ya Stanford mwezi wa Oktoba 27, 1993. Baada ya kuhitimu kutoka Shule ya Upili ya Menlo-Atherton, alihudhuria Shule ya USC ya Sanaa za Sinema kabla ya kuondoka kwenda kusomea taaluma ya vichekesho.

Tovuti zingine[hariri | hariri chanzo]

  • Shelby Fero kwenye IMDb

[[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1993]]