Costantine Makobe (Ni mwandishi wa mashairi hususani ya kimapokeo yenye kuelezea mambo kadha wa kadha yanayoihusu jamii) alizaliwa tarehe 25, mwezi desemba mwaka 1999 huko Mwanza.Ameandika kitabu kiitwacho "Mashairi ya Changamoto" ambacho pia chaweza kutumika mashuleni kwa kufundishia.